Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!
Chama Kikuu cha Ushirika Kagera (1990) Ltd kinaundwa na vyama vya msingi 134 kutoka katika wilaya tatu za Muleba, Bukoba na Misenyi. KCU (1990) LTD yenye makao makuu katika manispaa ya Bukoba...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nimeona wamenitumia meseji Leo kwenye Email kuwa nimekuwa shortlisted kwa hyo Wana interview zingine kama mbili hivi, ila kwanza lazima uwe na Cetfied Cognitive Report (CCR), baada ya kufuatilia...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
POST TAX MANAGEMENT OFFICER II – 184 POST POST CATEGORY(S) ACCOUNTING AND AUDITING BANKING, ECONOMICS AND FINANCIAL SERVICES TAXATION AND SOCIAL PROTECTION EMPLOYER Tanzania Revenue Authority...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
CUSTOMS OFFICER II - 45 POST at TRA POST CUSTOMS OFFICER II – 45 POST POST CATEGORY(S) ACCOUNTING AND AUDITING BANKING, ECONOMICS AND FINANCIAL SERVICES HR & ADMINISTRATION LEGAL TAXATION AND...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
POST TAX MANAGEMENT ASSISTANT II – 71 POST POST CATEGORY(S) ACCOUNTING AND AUDITING TAXATION AND SOCIAL PROTECTION EMPLOYER Tanzania Revenue Authority (TRA) APPLICATION TIMELINE: 2022-04-09...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
POST ICT OFFICER II (DEVELOPER/PROGRAMMER) – 50 POST POST CATEGORY(S) IT AND TELECOMS EMPLOYER Tanzania Revenue Authority (TRA) APPLICATION TIMELINE: 2022-04-09 2022-04-23 JOB SUMMARY N/A...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Habari zenu wapendwa . Msaada wapendwa waliowahi fanya Interview kweny hiyo possition tunaomba Tips kiuchache .
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari zenu wana JF, Mimi ni kijana,nimemaliza kidato cha nne mwaka 2021. Elimu yangu ni ya kidato cha nne na matokeo yametoka nimepata div.1.7; A-tisa na B-moja ya Bible knowledge pekee...
0 Reactions
35 Replies
5K Views
Mkurugenzi wa shule ya wasichana holy eukarist iliyoko mbagala inawatangazia nafasi za masomo Kama ifuatavyo. Physics Chemistry Biology History Geography Civics Kiswahili Kwa...
0 Reactions
7 Replies
789 Views
Habari, Tafadhali ninakuja kwenu, ni mhitimu wa hivi karibuni wa Shahada ya BCom. Tourism and Hospitality Management ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), Sina uzoefu popote unaoweza kuonekana...
4 Reactions
20 Replies
3K Views
Usaili EWURA unafanyika Lini kwa waliotuma maombi ya kazi? Hii imekuwa unyanyasaji mkubwa Kwani maelfu walituma maombi ila ewura wamepiga kimya au walishaajiri? Tunaomba majibu
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Watanzania kuna tangazo la kazi EWURA. Mwenye taarifa sahihi kuhusu ili tangazo tafadhali.
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Neno ukosefu wa ajira ni hali ya mtu yeyote ambaye anaweza kufanya kazi, lakini hana kazi. Ukosefu wa ajira ni mojawapo ya matatizo ya duniani hivi sasa. Ukosefu wa ajira unaonyeshwa kama...
2 Reactions
12 Replies
3K Views
Habari Ndugu zangu.. Hali ya uchumi imekuwa mbaya sana, kwa upande WANGU. Hali inayopelekea kukosa mahitaji muhimu. Hivyo Basi Kama Kuna mtu yoyote anajua au kufahamu kiwanda Chochote kinachotoa...
2 Reactions
33 Replies
7K Views
Post: Project Manager –Value chain development expert Location: Tanzania Contract Period: 3 Years Salary: Band 9 ( Tshs 60,000,000 per annum) Traidcraft Exchange is an international development...
2 Reactions
4 Replies
617 Views
Naomba msaada wako sana ndgu yngu na jamaa nahitaji msaada wako niweze kupata sehemu ya internship ktka kampuni za usafirishajii, clearing and forwarding, Logistics company. Sent from my...
0 Reactions
0 Replies
527 Views
Habari za wakati ndugu zangu, natumaini mu wazima. Bila kupoteza muda naomba nielekee kwenye hoja ya msingi. Leo Tume ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa(TAKUKURU) wametoa orodha ya majina ya watu...
4 Reactions
43 Replies
11K Views
Madereva wenzangu naona meli ishaingia wanaojuwana na watu wa transit basi tupeane fursa tafadhali
2 Reactions
6 Replies
722 Views
Wadau naona pamekaa kimchongomchongo sana.. alafu nimejaribu kama kutuma kupitia email Yao ila email yenyewe haieleweki wakuu mara inagoma dadeq.. Ichungulie vizuri hyo email Yao wakuu maana...
3 Reactions
24 Replies
2K Views
Kuna mdau juzi kati alifanya written interview utumishi kada ya Tax management officer ii mwajiri akiwa TRA, kwa maelezo yake anasema aliscore 45.5 kwenye huo mtihani, sasa anasema kuna mtu...
1 Reactions
116 Replies
16K Views
Back
Top Bottom