Wadau mimi nilikuwa muhudumu wa Afya (medical attendant) niliacha kazi mwaka 2011, niliondoka bila kuaga wala kuandika barua ya kuacha kazi baada ya kunyimwa ruhusa yakwenda kusoma. Nikaenda...
Kila la heri mtakaopata.
==
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
WIZARA YA AFYA
Telegrams “AFYA”, DODOMA Mji wa Serikali - Mtumba,
Nambari ya simu: +255-026-2323267/2351196 Barabara ya Afya...
Shida nini utumishi mbona sehemu nyingine delete ipo isipokua kwenye academic.
Ukikosea kidogo tu unapoteza sifa za kuomba kazi uipendayo badilisheni mtu awe huru.
Long Description
Role purpose:
The System administrator focus on all Management of Charging system application, Database, OS and Infrastructure which also include design and deployments of...
Kufatia mabadiliko katika Baraza la mawaziri kuna wizara mpya zimeanzishwa ikiwemo Wizara ya Maendeleo ya jamii, jinsia, wanawake na makundi maalum lkitengwa na Wizara ya Afya Ambayo imekuwa...
Habari yako,
Nakuja hapa kuomba msaada kwa yeyote yule mwenye kujua ni kiwanda kipi ndani ya Dar kinachopokea kibarua naomba anifahamishe maana natafuta kazi kwenye kiwanda chochote kile...
Hello,
Kwa majina naitwa SOSOMA JAMES
Ni mtaalamu katika masuala ya kilimo niliyehitimu SUA.
Nina miaka 24 na niko na shida ya usikivu kwa mbali. Ninatafuta kazi katika masuala ya kilimo hasa...
Habari JF,
Kulingana na hali ya uchumi kutokua njema kwa upande wangu, imenipelekea kuyumba kwenye mambo yangu mengi na kushindwa kufikia malengo.
Mambo ambayo nimeyashindwa ni
1. Ufugaji
2...
Mimi ni muhitimu wa diploma ya uuguzi jinsia kiume nipo dar natafuta sehemu ya kujitolea ambayo itanipa ata hela ya sabuni au nauli kidogo..kwa aliyeguswa
Sent from my SM-A107F using JamiiForums...
Je unafahamu social Media zina nguvu kubwa kwenye ulimwengu wa sasa wa kidijitali, na kama una biashara social media ni muhimu iwe imetengenezwa vizuri ili ivutie na kutangaza vizuri biashara yako...
Heshima kwenu wakuu.
Well, nimekuwa nikiskia tu kuwa unapofanya kazi UN mpaka mchumba/mpenzi/mke wako nae ana lipwa kila mwisho wa mwezi.
Leo katika pitapita nikawa napita kwenye website ya UN...
We are Clearing company located at Harbour View Tower 4th Floor, Looking for a volunteers in the following vacancy:
Position: Sales and Marketing Officer
location : Dar es salaam.
Qualification:-...
Job Opportunities at CMS Tanzania Limited, April 2022 - Supply Chain Manager East Africa.
CMS (Tanzania) Limited is a highly respected mineral exploration drilling company with operations in...
Job Description
Driver (5) Medical Teams International
Department:
Operations
Grey Sections to be completed by Human Resources.
Team:
Operations
Job...
Habari za muda huu.
Naomba kufahamu kwenye hizi nafasi za kazi TRA kwenye kipengele cha Tax management assistant II ni maswali gani wanatoa na yanatoka kwenye kitabu kipi?
Note:- diploma holder
Wadogo zangu pamoja na kaka zangu mama yetu raisi wa injii amemwaga ajira wale wenye sifa stahiki ombeni. Usiseme unajaribu bahati yako.
Wewe omba kama iliandikwa ule kwa kalamu basi utapata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.