Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!
Ndugu zangu, Kama wewe ni software & web developer mzuri, na upo Dar, nadhani nina project kwaajili yako. A quick introduction about the project;- Project itahusisha utengenezwaji wa high...
5 Reactions
20 Replies
3K Views
  • Closed
Job title: Restaurant Waitress. Location: Newala, Mtwara. Remuneration: 120,000/- per month. Non-Cash benefits: Food & Accomodation. Send message on WhatsApp to: +255 656 203 045.
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Salaam, Mimi ni kijana wa kiume mwenye Umri wa Miaka 26 na makazi yangu ni Mwanza wilaya ya Nyamaghana. Mwaka huu 2021 nimehitimu Bachelor of science in computer science, Lengo la thread hii ni...
2 Reactions
7 Replies
2K Views
Unapohudhuria usahili wa mahojiano, jitahidi kujibu vizuri maswali yote, na uhakikishe unajibu maswali yote kwa kujiamini na ikiwezekana majibu yako ya link na taasisi husika. Baada ya mahojiano...
5 Reactions
15 Replies
3K Views
Hello wana JF Nimeitwa kwenye usahili tarehe 23 Julai ya maandishi, kwenye post ya LICENSING OFFICER II na REGISTRATION OFFICER II Nilikua naomba msaada nisome au nipitie sehemu zipi ili nifaulu...
1 Reactions
25 Replies
8K Views
Kwa wale mliomba kazi mbali mbali utumish majina yametoka kwa ajili ya mchujo- Info zote zipo kwa pdf file chini NB: kwa wale wote waliomba licensing office Brela tujuane
4 Reactions
52 Replies
8K Views
Tujifunze kusoma fani zinazotuachia ujuzi ili tuweze kujiajiri na pia kutengeneza ajira kwa wengine. Mfano mdogo tu, jaribu kutangaza nafasi ya fundi wa kushona mavazi; inaweza kuchukua wiki...
12 Reactions
74 Replies
7K Views
Mimi ni kijana wa umri wa miaka 26, nimemaliza shahada ya kwanza ila kutokana na hali ngumu ya ajira nimeamua kutafuta kazi ya kuuza bishara yeyote hapa Dodoma. Mimi ni mwaminifu na nina uzoefu...
2 Reactions
12 Replies
3K Views
Aisee EAC Secretariat japo Ipo Arusha (TZ) lakini Watanzania tumeishia kubakia nafasi za chini (udereva, wafagizi, receptionist). Sasa Wabunge toka Uganda nao wamestukia chezo la wakenya kujazana...
3 Reactions
33 Replies
3K Views
Habari, Natafuta kazi, nina certificate ya mipango miji, naweza kufanya pia store keeper, Naomba msaada wenu
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Natafuta operator wa mashine ya kukoboa mahindi na kusaga unga. Ina uwezo wa kusaga tani kumi kwa siku. Awe na uwezo wa kufanya mauzo kwa kupeleka kwa wateja. Niko Dar es Salaam, Mbagala.
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari, Natafuta biashara zinazohitaji kukua iwe katika kutoa huduma au kuuza bidhaa. Wasifu wangu; Uzoefu wa miaka 5 katika usimamizi na kuweka mikakati ya ukuaji biashara "Strategies for...
2 Reactions
3 Replies
692 Views
Jamani swali langu ni kuwa je! Pointsman (Mtumishi katika shirika la reli) huwa kwa Tanzania analipwa mshahara wa kiasi gani?
1 Reactions
11 Replies
2K Views
  • Closed
Habari Ndugu Zangu Wana JF, Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 28 ninayepatikana mkoa wa Dar es Salaam. Nilihitimu masomo yangu katika ngazi ya Shahada ya uzamili katika Hisabati (Master's...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
3 Technical Advisors TVET/Employment Promotion in Dodoma Manyara and Lindi (310 working days each) Position: technical advisor Project Status: tender Project Title: KOICA Tanzania – Provision...
1 Reactions
0 Replies
565 Views
Technical Project Coordinator at FAO December, 2021 IMPORTANT NOTICE: Please note that Closure Date and Time displayed above are based on date and time settings of your personal device FAO is...
0 Reactions
0 Replies
469 Views
INTERNSHIP OPPORTUNITY (RE ADVERTISED) BID NO: KCU/C/2021/006 Kagera Cooperative Union (1990)Ltd a Cooperative Institution based in Kagera Region and operating in three District Bukoba, Muleba...
0 Reactions
0 Replies
580 Views
National Consultant to undertake an assessment to map existing administrative data sources on labour migration statistics in Tanzania at ILO December, 2021 Background Labour migration has always...
0 Reactions
0 Replies
584 Views
Programme Coordinator/ Coordinatrice de Programme Workplace: Kibondo Department/Country: Tanzania Contract type: Expatriate or national contract DRC has been implementing emergency response...
0 Reactions
0 Replies
526 Views
Back
Top Bottom