Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!
kuna haja mashirika wanaita ya kimataifa na mishahara yao ipo na jina mfano grade P3 unapata ni hela ndefu kwani pia wanalipwa kwa dola..sasa kuna wale wamekuja kutoka nchi fulani let say west...
1 Reactions
6 Replies
724 Views
0 Reactions
6 Replies
1K Views
A motivated, adaptive, and responsible ndustrial engineering maagement graduate seeking a position within which i will utilize my proffesional and technical skills. I have recently graduate at...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Naitwa Frank Lucas nipo Arusha natafuta kazi ya umeme nna level two, kama Kuna fundi ambaye naweza fanya nae kazi naomba niwe nae, au kama Kuna mtu anaweza kuniunganisha kiwandani au kwenye sekta...
0 Reactions
2 Replies
775 Views
Wazima jamani naomba mnisaidie madili yoyote yale jamani
1 Reactions
12 Replies
746 Views
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 22 nina elimu ya kidato cha nne Muda sasa nipo nyumbani tu natafuta kazi yoyote hilio halili ili niweze kujikizi kimaisha Ata ikiwa kiwandani au sehemu...
2 Reactions
9 Replies
2K Views
kuna ajira mmetangaza kwenye nafasi ya kazi ya udereva zile sifa za dereva mnayemtaka kwamba awe amesoma kozi ya mwaka mmoja basic certificate ya udereva , sijawai kusikia kozi hiyo ya mwaka 1 ni...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Nataka nijitoe ufahamu kwa kuandaa CV yangu vizuri, halafu nitaandika barua moja kwa moja kwa Rais ikulu, nitaambatanisha vyeti vyangu vyote kisha nitavizia siku rais yuko Dar. Ntapeleka barua...
11 Reactions
27 Replies
3K Views
we're looking for 2 Android developers. Experience on native is a must, flutter is an advantage and swift is a bonus. An immediate start for successful candidates….nichek inbox kama upo tayari na...
0 Reactions
3 Replies
540 Views
WASALAAM Ndugu wapendwa mabibi na mabwa Napenda kufahamu kwa wale ambao walishawahi kufanya interview utumishi kwa usaili wa WATENDAJI WA KATA Huwa yanaulizwa maswali ya aina gani maana mimi...
1 Reactions
6 Replies
9K Views
JOBS VACANCY Clinical Assistant at Muhimbili University of Health and Allied Sciences (MUHAS) Advisor – ART Retention and Community Based Health Service Delivery (6 Posts) at MDH DECEMBER 2021...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
institute of construction technology morogoro, boarding school matron salary, school matron qualifications, information technology jobs 2021, application for the post of a matron, house matron...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Abali zenu ndug zangu, naitwa Frank nipo Arusha natafuta kazi au fundi niweze kufanya nae kazi ya umeme maana na taaluma ya umeme level two( Electricall installation) 0787444364/ 0689040221
2 Reactions
0 Replies
696 Views
Anahitajika Afisa Mikopo elimu iwe diploma au degree, intern pia katika fani ya microfinance anahitajika mmoja au wawili, anaye hitaji kazi hii natakiwa awe anaishi Meru au mpakani mwa Arusha na...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Napenda kujua concept ya nafasi ya kazi kuwa re-advertised uwa inakuwa Mara ngapi kwenye kazi fulani. Kuna nafasi Moja walitangaza utumishi mwezi wa saba wakairudia mwezi wa nanë na watu...
1 Reactions
5 Replies
967 Views
Habari zenu. Naitwa Mary, Miaka 25. Elimu yangu cheti. Naishi karibu na cornerstone (kibada). Natafuta kazi za ndani za kwenda na kurudk huku Kigamboni. Kupika, kufua, usafi, kutunza watoto...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Nafasi tajwa hapo juu zinahitaji watu. Mshahara ni Tsh. 300,000. Mahali ni Moshi Kilimanjaro. Kama upo interested, tuma cv kwa info@starrich.co.tz NB. Onyesha kazi uliyoomba.
0 Reactions
8 Replies
2K Views
JOBS DAR ES SALAAM Cargo Sales Officer (2 Posts) at ATCL December, 2021 - New! IT Support Officer Jobs Vacancy at Watu LTD Decmber 2021 Manager – PMTCT/EID/Pediatric HIV Service Delivery (1...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
air tanzania jobs 2021, air tanzania cabin crew vacancy, air tanzania internship 2021, precision air jobs 2021, precision air jobs 2020 ABOUT ATCL Air Tanzania Company Limited (ATCL) (Swahili...
0 Reactions
0 Replies
847 Views
Salaam, Mimi ni kijana wa kiume mwenye Umri wa Miaka 25. Mwaka huu 2021 nimehitimu Bachelor of science in production and opertion managment chuo kikuu Mzumbe, lengo la thread hii ni kuomba nafasi...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Back
Top Bottom