Job Reporting To: Zonal Business Manager (Administratively), Manager Agents Performance (Functionally)
Job Purpose:
To grow and retain a portfolio of Bank Channel’s Business including management...
JOB REPORTING TO: Senior Manager Business Performance & Revenue Assurance
JOB PURPOSE
Responsible to ensure that revenue collection mechanisms are reviewed and monitored to help businesses...
Habar wadau naomba msaada wenu wa kuzitambua wakala wakubwa na wazur wa ajira Tanzanian mimi ni kijana mwenye cv nzur katika masuala ya manunuzi na ugavi stoo naomba njia za kupata hao mawakala...
Ndg:''Aslaam alaykum naitwa Abdul Hamanda kutoka Moshi elimu kidato cha nne kwa mwenye kibarua chochote cha halali msaada tafadhali mtaani bila kazi hapakaliki mwishowe ni kuingia magroup mabaya...
orodha ya wataalam wa fani mbalimbali walioomba nafasi Jeshi la magereza wanahitajika kwenye usaili kuanzia tarehe 02/12 Hadi tarehe 06/12/2021. Usaili utafanyika siku tofauti kulingana na fani...
Jeshi la magereza Tanzania limetangaza nafasi za kazi 700 kwa watanzania mbalimbali wenye elimu ya kuanzia kidato cha nne mpaka degree mwisho wa kutuma maombi ni October 10 2021 Kwa maelezo zaidi...
Habari ndugu zangu na nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Hii ni fursa kwa vijana wote ambao wamemaliza chuo na upo tu nyumbani na hauelewi cha kufanya.
SIFA ZA MUOMBAJI.
Ili...
Habarini ndugu zangu, ni matumaini yangu mpo fresh.
Mimi ni mhitimu wa chuo ngazi ya degree katika fani ya uhasibu.
kiukweli nimejiajiri lakini hali si mchezo huku mtaani, ofisini nashinda masaa...
Anahitajika msichana wa kazi..kuhudumia familia ya watu wa tatu.baba.mama mtoto.kuishi kwa tajiri.kazi kupika.kufua na kulinda nyumba.mshahara shilingi 50.000.bima ya.afya na mahitaji ya msingi ni...
Mwenye mchongo wowote kuhusiana na kazi za IT hapa DSM au popote pale Tanzania anipe connection.
Ni mtaalam katika:-
1.Web design
2.Graphics design
3.Nertwork installation
4.CCTV camera...
Utangulizi
Glaness graphics and design inamilikiwa na Flydream Company Limited. Inahusika na huduma mbalimbali mfano kutengeneza flyers, banners, video editing, video shooting, T-shirt printing...
Wakuu salaam,
Nina mdogo wangu kamaliza chuo mwaka 2018, ana bachelor degree ya Business Administration, kashafanya usaili wa Mamlaka ya Mapato mara mbili sasa, cha ajabu leo wakati anaomba...
Habari mi ni binti umri 27
Nina changamoto ninazopitia zinazonifanya nikae nyumba ni mda mwingi na kukosa kazi.
Nahitaji kazi ya upishi mahali penye nafasi kama hiyo.
Vyakula vingi nnavyoweza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.