Mimi ni binti mwenye umri wa miaka 22 ,nimehitimu masomo yangu ya chuo kikuu ngazi ya shahada ya Sana'a na ubunifu yaani(bachelor of arts in art and design) ambayo imebeba mambo kama,
FASHION...
Wadau naomba kuuliza kuhusu upatikanaji wa Kazi Dubai, Kazi za kuajiliwa plus mkataba sio za mtaani.
Na Kama kuna agent ambao wana saidia kupata Kazi basi itakuwa fresh ukinijuza.
Mana nachek...
Natumaini mu-wazima wa afya ndugu zangu wana jamii forum. Natafuta kazi za ndani (house girl) Dar es salaam. Ni msichana wa miaka 21 nipo Geita kwa sasa. Elimu yangu nimefika form four.
Pia kaz...
Habari ya uzima wakubwa kwa wadogo.
Mimi nilikua muajiriwa kwenye sekta binafsi lakini tukawekwa pembeni baada ya ofisi kufilisika, nikafanya biashara nazo hazikuzaa matunda, kwasasa nimegeukia...
Jinsia: Mwanaume,31.
makazi: Dar es salaam
Uzoefu barabarani: Zaidi ya miaka miwili na nusu bila tukio la ajali.
leseni safi daraja: A A2 B C1 C2 C3 D
Elimu: kidato cha sita (6)
Mafunzo: Advanced...
Habari wana jamvi!
Napenda kushare japo kwa ufupi story yangu naimani itatufunza na kupata Ushauri ambao hata mimi nitajifunza.
Nikiwa nina miaka 6 baba yangu alikuwa mwajiliwa wa taasisi moja...
Habari wadau,
Samahani kwa wale walioomba nafasi za ajira TRA za mwezi November ambazo deadline ilikuwa tarehe 4 washapata majibu ya kuitwa kwenye usaili maana ajira portal huwa wanatoa majibu...
Habari za muda naitwa Ernest mimi ni Dereva wa uber na Bolt
Kama awali hapo mimi ni dereva wa Uber natafuta Gari ya hesabu au mkataba nina leseni class C3 na vigezo vyote vya kuendesha gari za...
Nafasi za kazi kwa Watumishi wa Umma wanaotaka kuhamia kufanya kazi katika Chuo Cha Utalii (NCT) Dar es salaam
Kwa Mtumishi wa Umma anaehitaji kuhamia chuo cha Taifa cha Utalii kwa nafasi ya...
1. Relationship Manager; Bancassurance (1 Position(s))
Job Purpose:
To increase insurance sales and penetration to wholesale clients, by ensuring strong strategic business relationships with...
Stationery ipo Mwanza Maeneo ya chuo kikuu cha Mt. Agustino (St. Augusitne University of Tanzania)
SIFA ZA MWOMBAJI
Awe mkazi wa Mwanza (Maeneo jirani na chuo) (kama sio mkazi awe na pakuishi)...
Kuna wimbi la vijana wengi sana mtaani kuanzia dsm mpaka mikoani ambao kusema ukweli wanatia huruma sana ukikutana nao, ila nachojiuliza ni kitu kimoja unakuta kijana analalamika kuwa hana kazi...
Habari ya wakati huu!
Kama kichwa kinavyojieleza, wanahitajika vijana wawili mmoja kwa ajili ya kuuza barafu na mwingine juisi (kwa kutembeza).
Sifa kuu ni uchapakazi na uaminifu.
Jinsia yoyote...
Jamii Forums is a Tanzanian Non-Governmental Organization that advocates for and promotes Civil and Digital Rights, Social Justice, Accountability, Democracy and Good Governance.
Jamii Forums...
Nahitaji Mafundi Wa Kufanya Skimming, Kupiga Rangi, kuweka Tiles, Na Gypasum Decoration Kufanya Finishing, Kutengeneza Madirisha Ya Vioo Na Almunium, Kupiga Patition Note: Wawe Dar
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.