Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!
Kama unatafuta mtu mwaminifu wa kukusaidia kazi zako karibu Mimi ni ke (mwanamke)
1 Reactions
3 Replies
629 Views
Join us in our efforts to end the HIV epidemic in Tanzania. Be part of the winning team to advance global health and save the lives of people living with HIV. About HJFMRI Tanzania Program The...
1 Reactions
3 Replies
654 Views
Samahani kama nitawavuruga vichwa,,ila naomba mnielewe . Mwez wa 12 nina likizo ya mwez 1 means hadi januari,nataka ndani ya kipindi cha likizo hiyo mpaka shule zinafungua niwe nimeingiza at...
6 Reactions
28 Replies
2K Views
Hello JF. Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu. Natafuta mtu wa anaweza kufanya online marketing, awe anafanya UDALALI WA FURNITURE AMBAZO NITAKUWA NATENGENEZA. MFANO WA FURNITURE NI...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Jamani Mimi ninaishi mkoani, elimu yangu ni diploma ya procurement lakini sina kazi , Mimi ni binti wa miaka 24 , ninaishi Mwanza na wazazi wangu lakin kama mnavyojua kuishi hom ni Jambo gumu sana...
4 Reactions
60 Replies
4K Views
Hello wakuu habari zenu Natafuta wasafirishaji wa mizigo wenye uhakika na kazi kama ifuatavyo; 1.Kutoka bandarini kwenda Congo(hii ni tender ya mwaka mzima) 2.Kusafirisha mazao kutoka kusini mwa...
2 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari zenu wakuu, Katika kutafuta mishe za kazi nimefikiria kutua mwanza kufatilia kazi kwenye mradi wa reli. Naombeni ushauri niende nikajitose au namna kwa sasa nipo Dsm.
2 Reactions
21 Replies
3K Views
The Energy and Water Utilities Regulatory Authority (EWURA) is an independent, world class regulatory authority responsible for licensing, tariff regulation and quality of service regulation of...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari zenu wana familia ya jamii Forums ndugu yenu nna shida naimani naweza pata msaada kupitia nyinyi mimi kitaaluma ni dereva na nina driving licence yenye daraja A B C1 C2 C3 D E na nilisoma...
1 Reactions
15 Replies
2K Views
Tanzania Commercial Bank is a Bank that provides competitive financial services to our customers and creates value for our stakeholders through innovative products. Tanzania Commercial Bank is a...
0 Reactions
0 Replies
639 Views
SOS Children’s Villages Tanzania is a local non-government organization affiliated to SOS Children’s Villages International, a worldwide child care and protection organization that provides...
2 Reactions
0 Replies
712 Views
Tanzania National Roads Agency (TANROADS) is vested with the responsibility of Maintenance and Development of Trunk and Regional Roads Networks in Tanzania Mainland. The Agency is also responsible...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
naomba mwenye connection pale national house natak kwenda kufanya volunteer pale katika kada ya store nimeitimim diploma ya manunuz nina uzoefu wa miaka zaidi ya 5 katika masuala ya maunuzi na...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nataka kujua mambo ya kuzingatia kujiandaa na usahili wa uhamiaji anaejua tafadhali
2 Reactions
23 Replies
5K Views
Habari za leo wadau. Natafuta kijana wa kulinda mji na kuweka msafi wakati wote kutoka kigoma. Awe; 1. MUAMINIFU, 2. mcha MUNGU 3. MKWELI na 4. MCHAPA KAZI KWELIKWELI Mshara ni Tzs 100,000/=...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Kijana atakae saidia katika kilimo cha bustani/shamba yenye nyanya, hoho, karoti, na vitunguu. Ukubwa wa bustani(shamba) ni heka moja iliyozidi au heka mbili iliyopungua. Awe anaweza shughuli...
3 Reactions
21 Replies
4K Views
Niko Mwanza Dereva muaminifu, nina leseni pia naomba kama kuna mmiliki wa daladala (hiace) tufanye kazi ndugu zangu. Uwa nafanya day worker baadhi ya madereva uwa wananiachia gari mara moja moja...
3 Reactions
27 Replies
3K Views
Mimi ni kijana nahitaji kazi yoyote hata ya kuuza duka umri 21 Niko Moshi mawasiliano 0620890013
1 Reactions
9 Replies
850 Views
Salaam kwenu wadau. Kama mada inavyojieleza wakuu, naomba kujua majina ya watu wanaotakiwa kwenda kufanya interview ambazo zimetangazwa na Utumishi huwa yanawekwa sehemu kwenye web yao wakuu...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Anahitajika kijana fundi wa kuchoma na kukaanga kuku barabarani. Eneo la kazi Kimara Korogwe, malipo maelewano. DM iko wazi.
0 Reactions
0 Replies
651 Views
Back
Top Bottom