Toka Sensa ipite serikali ikagawa VISHIKWAMBI imekuwa na kigugumizi sana Cha kuajiri waalimu wapya
Toeni ajira vijana wanataka kulifanyia kazi taifa sio kupewa VISHIKWAMBI
TAMISEMI na serikali...
Habarini za muda huu wakuu,
Mimi ni kijana mwanajukwaa mwenzenu nipo Kahama hapa naona maisha yananiendea kombo hiki kipindi kiasi kwamba mpaka kula yangu inaelekea kuwa jambo la mashaka,hivyo...
Anahitajika Mwalimu mahiri ngazi ya shahada katika somo la Jiografia na Historia au Jiografia na kiswahili. Shule ipo Mbeya Mjini na inatoa mshahara scale ya serikali..... Kama Hauna mastery of...
Wadau,
Kwa wale wenzangu na mie wasaka ajira naomba tuyataje mashirika, taasisi au sekta ambao ni wabaguzi sana katika mifumo ya kuajiri. Yawe yale ya mjuano, upendeleo, rushwa n.k
1. World...
Tazama Pipelines Limited, an interstate organization owned by the United Republic of Tanzania and the Republic of Zambia and which deals in transportation of petroleum products from Dar es Salaam...
Habari,
Ni Binti Wa Ki Tanzania Mwenye Umri Wa Miaka 21 , Elimu Yake Form 4 Amesomea Level 2 Ya Ufundi Bomba (Plumbing & Fitting) Anafuta Kazi Yeyote Halali Ambayo Itamuingizia Kipato. Kama...
Ni kiwango kipi mtu anaweza sema amepata kazi ya mshahara mzuri kwa hali ya maisha iliyopo hapa nchini na kwenye soko la ajira bongo?
Wadau wa maokoto ya mwisho wa mwezi tupeni abc
Sisi Watumishi wapya wa Sekta ya Afya katika Halmashauri ya Jiji - Dar es Salaam tunafanya kazi katika mazingira magumu mno.
Tangu tuajiriwe mwanzoni mwa mwezi Novemba 2024, kuna baadhi yetu...
aiseeee
Kila mtu mtaani kwangu huku anayehangaika kutuma maombi kwenye mfumo wa uhamiaji naona anakwama ku regester wanaandika IVALID REGSTRATION"
what the hell is this???
Naombeni kazi ya uuguzi
Mimi ni msichana wa miaka 25 muuguzi ngazi ya degree mwenye valid licensure Nina uzoefu wa kutosha natafuta kazi iwe hospital au kwenye shirika au chuoni kufundisha...
Habar za muda huu
Asalem aleykum,
Ndugu jama na marafiki nipo hapo Leo kuelezea changamoto yangu kwenu nipo hapa kuomba Kazi za udereva wa kumuendesha mtu, taasisi yoyote ile hata gari ya Uber...
Habar za muda huu
Asalem aleykum,
Ndugu jama na marafiki nipo hapo Leo kuelezea changamoto yangu kwenu nipo hapa kuomba Kazi za udereva wa kumuendesha mtu, taasisi yoyote ile hatakama ipo gari...
NAITWA GERALD NAPATKANA TABATA, NA NI TRAINER WA AEROBICS , YOGA NA WORKOUT KIUJUMLA NAJAMA UKIWA UNAITAJ ANZA IYO BIASHARA NA HUJUI PAKUANZIA ME NIPO TUTAFANYA BEGA KWA BEGA MBAKA ITAPOFANIKIWA...
Ni rafiki yangu anasema Kuna mshikaji wake ametaka aende dodoma Kuna kazi ya ivi vi kampuni vya mikopo mshahara elfu 90
Hela ya kula per day ni elfu 3
Eneo la kulala lipo kwa degree holder iyo...
Natumaini ni wazima wote.
Ndugu jamaa na marafiki embu angalieni mnanisaidiaje na hii fani na uzuefu nilionao kwa nguvu zangu nimekwama.
EXCAVATOR OPERATOR uzoefu miaka 5
WHEEL LOADER uzoefu...
Wenye Diploma na wenye umri Kati ya 26-30 UHAMIAJI wapeni ruhusa na wao waombe nafasi Kigezo kiwe mwisho 30 Tafadhari ..
Wenye mamlaka tafadhari tunaomba mliangalie hili . Siku ya tarehe 29...
Nimepita leo fb nikakutuna na hawa watu (Global Youth Support Center) wa kusupport vipaj vya watoto wadog kielimu, football, basketball nk
Lakn sina uelewa san juu yao jaman wanajamii kwa yeyote...
Summary:
The CookFund programme is a five-year initiative (2021-2026) established by the Government of Tanzania (through the Ministry of Energy) in collaboration with the European Union (EU) and...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.