Kwa utangulizi mfupi nina elimu ngazi ya digrii (ualimu) nje ya taaluma yangu nina experience ya kazi zifuatazo:
1.Kuuza hardware
2. Kulima bustani za mbogamboga
3. Kuchezesha playstation...
LEGAL SERVICES FACILITY
JOB OPPORTUNITIES
The Legal Services Facility (LSF) a registered non-government Organization (NGO) with Registration No. 00NGO/R2/00011. It is a basket fund created to...
Salam ndugu zangu natanguliza shukrani kwa Muumba wetu.
Mimi ni kijana wa kiume nina miaka 22,
Kama kichwa cha habari kilivyojieleza hapo juu ninahitaji mtu mwenye koneksheni ya kazi za...
Nina Bachelor degree of Education in Psychology, Lakini Masomo ya kufundishia nilisoma History na Kiswahili.
Cha ajabu kila nikiomba kazi ya ualimu wa History mfumo Unaandika "Failed"
Mwenye...
Habari wakuu nimekuja mbele yenu kuomba kazi yoyote ile.
Kwa sasa nipo Mkoani Tanga lakini nipo tayari kufanya kazi kwenye mkoa wowote ule na kazi yoyote ile.
Atayeguswa naomba anipe msaada...
Nimekosa mtaji nisaidieni walau nipate part time job ili nipate mtaji nataka nifanye biashara ya kununua na kuuza mchele au hata mkopo kama inawezekana ntaweka bond pikipiki yangu aina ya motomorini
Habarini ndugu zangu¡?
Wakuu naombeni mnisaidie kazi yoyote au kibarua angalau nipate chochote au connection ya kazi yoyote ndugu zangu, nipo Geita
jinsia~me
umri~28
elimu~degree...
Habari wakuu. Tafadhali naomba msaada kujua mishahara ya ngorongoro conservation area?
Naomba kujua hasa NCAA 3, NCAA 4 na NCAA 5.
Na je hili jeshi usu huwa inachukua muda gani kuhitimu...
Bint wa miaka 24 yupo Moshi anatafuta kazi yeyote halali
Elimu yake Kidato cha Nne
Certificate ya tourism
Mchapakaz na mchangamfu
Anaweza kufanya Kazi yeyote ambayo haidhalilishi utu wake
Kama...
Huu mwaka umekua mgumu kwa sisi walimu, tumeteseka sana kisaikolojia, toka January to December, tunasubiri ajira, japo tunajua hatuwez kupata wote ila tunatamani kuona hata hao wachache waajiriwe...
Hello wakuu,
Kuna tetesi nimezipata kuwa Utumishi ,hawatawafanyisha usahili walimu, badala yake wame wamechagua selection criteria, nazo ni mwenye GPA kubwa atapata ajira.
Na tetesi zinasema...
Anahitajika kijana mwenye ujuzi na elimu ya masuala ya biashara hususani kwenye sekta ya miamala ya benki na simu.
MAJUKUMU
-Kusimamia ofisi inayojishughulisha na masuala ya huduma za fedha...
Wakubwa habarii za wakati huuu! Huu ni Uzi maalumu juu ya ajira zilizo tangazwa na idara ya uhamiaji hivi karibuni.
Binafsi nafanya application lakini sijafanikiwa kufika mwisho, nikisha log in...
Poleni na kazi wakuu,
Mimi kijana nahitaji kupata bajaji ya hesabu au mkataba, kwa yeyote anayemiliki au anataka kufanya biashara ya bajaji basi mimi niko tayari.
Napatikana
Dar.
Hello JF family.
Nakuja mbele zenu ndugu zangu mnisaidie kibarua chochote kile ili nipate kusogeza siku zangu za kuishi hapa duniani bila kuwa tegemezi wala kero kwa wengine.
Sihitaji kazi...
Org. Setting and Reporting
The Office of the Prosecutor of the United Nations International Residual Mechanism for Criminal Tribunals (“Mechanism”) invites applications for legal internships...
Kwa maoni yangu, wasomi kote duniani wanapaswa kujiajiri kwa kuanzisha au kujiunga na makampuni makubwa, kama vile HP, Apple, Ford, na Benz, ambayo yalianza kwa rasilimali ndogo lakini...
Natumaini mu wazima wa afya.
Natafuta kazi ya online.
Si kwamba hata ya kufika eneo la kazi siiwezi,bali jukumu limetaiti sana.
Kwa sasa nipo na watoto wawili wadogo,na kila kitu kuhusu wao ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.