Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!
Mimi ni binti wa miaka 24 nimemaliza shahada ya ualimu nimebobea kwenye kiswahili na history. Natafuta kazi yeyote ile ili nijiingizie kipatata kazi ya kufundisha, supermakert, kuuza duka...
2 Reactions
8 Replies
954 Views
Hi wapendwa, bado cjapata kazi, nimesomea computer baada ya kumaliza form 4, na Nina uzoefu wa kaz za stationary kwa miaka 3, yoyote mwenye uhitaji wa binti wa kazi hizo anisaidie, 0715 917427...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kama kichwa cha habari kilivyojieleza natafuta kazi ya records management, office assistant au hata secretary kat ya hizo ninauwezo wa kuzifanya izo kazi.Niko mwanza
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Mimi Ni Binti wa miaka 23 natafuta kazi katika maofisi nifanye km secretary,receptionist au office attendant Nina experience kama office attendant miaka 4. Tafadhal mwenye connection naomba...
2 Reactions
35 Replies
3K Views
Habari natafuta kazi, nina Diploma ya Records Management Pia nina uzoefu wa kazi ya secretary, Mwenye kusikia nafasi ya kazi namba yangu ni 0714140942
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Nina diploma ya records management Pia nina uzoeefu wa kazi ya secretary Pia nina uwezo wa kutumia computer vizuri Naomba mwenye uwezo wa kuniajiri kwenye kampuni yake au kuniunganisha sehemu...
2 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari wanajukwaa, natafuta kazi nina Diploma ya Takwimu, nina ujuzi wa computer, pia naweza kufanya kazi kama secretary, receptionist hata cashier. Msaada wenu tafadhali Sent using Jamii Forums...
1 Reactions
15 Replies
2K Views
Hi, Mimi ni mwanamke wa miaka 35 naishi dar ni mlemavu wa miguu ni (disability) nina uzoefu wa zaidi ya miaka kumi kwenye kazi za Receptionist, Customers service, Switch board operator, Safari...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Mimi ni binti wa miaka 26 kiwango changu cha elimu ni 4m 4 failure but I can speak good English and writing. I have work experience as receptionist, customer care service, secretary and waitress...
0 Reactions
17 Replies
1K Views
HABARI WANA JF, Natafuta kazi ya secretary au data entry nina uzoefu wa kazi izo nilishawahi kuwa secretary mahali na kuwa data entry katika hosptal kwa kuingiza fomu za bima. Elimu yangu nina...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Utawatazama waajiriwa wake, wengi wanakuwa na afya nzuri, uso na mwili umetakata, wana sura za furaha, wana magari mazuri haya makubwa makubwa, wanakuwa na furaha ya kumuhudumia mteja n.k Lakini...
5 Reactions
6 Replies
957 Views
Naitwa Isaya Joseph Natafuta kazi yoyote ukuweza kujikimu kimaisha. Elimu yangu ni Form Four Kazi nilizowahi kuzifanya awali ni kama ifuatavyo-: Stationary miezi 6 Mashine za kusaga nafaka...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Ni mengi nimeyapitia hapo kati, maana walitokea wengi, wakasema mengi Wote walisema kwa kubahatisha, huku wakijipa uhakika na kujiaminisha wao kwa wao kuwa mimi ni 'Tapeli'. Sawa, yawezekana...
27 Reactions
155 Replies
19K Views
Wakuu, naomba mnisaidie atakaesikia kazi ya ualimu kwenye shule za sekondari mwalimu anaitajika. Naomba anisaidie. Nafundisha masomo ya biashara. Book keeping na commerce. Sana mikoa ya...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
At Vodacom, we’re working hard to build a better future. A more connected, inclusive and sustainable world. As a dynamic global community, it’s our human spirit, together with technology, that...
0 Reactions
0 Replies
478 Views
POST: ENGINEER II - CIVIL – 1 POST POST CATEGORY(S): ENGINEERING AND CONSTRUCTION EMPLOYER: National Housing Corporation(NHC) APPLICATION TIMELINE: 2021-10-20 2021-11-02 JOB SUMMARY NA DUTIES AND...
0 Reactions
0 Replies
652 Views
Job Title - Head, Finance & Administration Reporting Line - General Manager Job Summary Oversee the development and execution of an effective financial strategy to achieve optimal return on...
0 Reactions
0 Replies
600 Views
NBC is the oldest serving bank in Tanzania with over five decades of experience. We offer a range of retail, business, corporate and investment banking, wealth management products and services...
0 Reactions
0 Replies
359 Views
Receptionist – Tanzania Job #: req13440 Organization: World Bank Sector: Administration/Office Support Grade: GA Term Duration: 3 years 0 months Recruitment Type: Local Recruitment...
1 Reactions
2 Replies
870 Views
Habari wanajukwaa mm ni kijan miaka yangu ni 27 natafuta kaz yeyote ya mashambani ili niweze kujikim kimaisha. 1. Kusimamia shamba,mazao ya nafaka matunda 2. Kusimamia miradi ya ufugaji, km vle...
2 Reactions
9 Replies
2K Views
Back
Top Bottom