Anahitajika mtaalamu wa kilimo na mifugo mwenye elimu ya kuanzia ngazi ya stashahada mwenye ujuzi na uzoefu kwenye tasnia ya ufugaji wa kuku wa nyama wa kisasa.
Eneo la Mradi: Kazimzumbwi -...
Habari
Nahitaji dereva ani'train kwa vitendo kuendesha 'sinotruk howo' (hasa zile dumptuck).
Au kama yupo mdau unamfahamu mwenye 'access' ya kupata hilo gari na kujifunzia kwa wiki moja...
Kumekuwa na wimbi kubwa la vijana kukosa Ajira katika soko la Ajira hii sio kwamba hawana uwezo wa kufanya hiyo kazi au namna gani Bali ni kutokuaminiwa na baadhi ya ma Managers na kunyimwa...
Hello wakuu!!kama kuna mwenye mchongo wa job za hao watu, plz naomba anijulishe. Elimu yangu ni ya vidato 6.
Sababu ya mimi kutaka kuwa nao ni mapenzi yangu binafsi tu na hiyo kazi..
Duka liko Dar es salaam eneo la mbezi barabara ya goba. Ni ndani kidogo mtaani sio barabara ya lami. Kutoka lami ni mwendo wa km 1.
Masharti ya kazi.
1. Ataishi nyumbani kwa boss wake kwa...
Wakuu hope mko poa
Nimeshangaa kuona kuwa mwaka huu serikali itaajiri walimu, kupitia tume ya walimu. Yaani tume ya walimu ndo itaajiri.
Hiki ni kichekesho Cha mwaka na hapa waziri Ummy...
Habari zenu wakuu, Napenda kuomba msaada kwenye jukwaa hili kwa maana naamini humu kuna watu wafani mbalimbali na connection za kutosha na wengi wamefanikiwa kupitia humu.
Umri wangu ni Miaka 25...
Wasaalam wakuu, Mimi ni kijana wa miaka 27 Mhitimu wa kozi ya Clinical Medicine nimehitimu mwezi wa 2 mwaka huu, naombeni Kwa unyenyekevu mkubwa nafasi ya kazi popote pale ndani ya Tanzania...
Salam..nahitaji mhudumu wa hotel sio lazma awe amesomea hotel management au hotelier lakini awe na uzoefu wa kazi kwa:
1. Kuserve wateja chakula na vinywaji
2. Kufanya House keeping
3. Usafi wa...
Ninazo fremu zangu na cherehani kama ishirini hivi.
Natafuta mafundi ili tufanye kazi. Pia naplan kufungua chuo cha kufundisha wanafunzi kushona, nahitaji wafanyakazi.
NiPM tuongee.
Deadline: September 29,2021
Wanahitajika nafasi hizi
● Secretaries wanahitajika
● Watu wa Ofisini- Photocopy, Telephones
● Muongozaji wa kuimba Kwaya
● Muongozaji wa Kucheza Muziki
●...
tHL Accounting Live Class: FURSA kwa vijana wenye Degree za Account, Finance, Business Administration, Economics au Procurement. Kupitia tHL Accounting Live Class tutatoa mafunzo ya mfumo wa tHL...
Buheri Wadau,
Madayaspora mlio ng'ambo hasa nchi za Scandinavia au mnaofahamu na kujihusisha na kuonganisha wafanyakazi nje kwa mikataba mifupi,
Naomba kuonganishwa na agency wanaofanya...
Poleni na majukumu
Binti wa miaka 24 anatafuta kazi hotelini
Vitengo anavyoweza ni
Waitress
Housekeeping
Reception
Amesomea na anauzoefu na vitengo hvyo yupo Kibaha ila popote yupo tayari kwenda...
Flydream Company Ltd ni kampuni iliyosajiliwa na BRELA kwaajili yakutoa huduma mbalimbali kupitia biashara zilizo chini yake.
Kwasasa inawatangazia watu wote wenye sifa za kuomba nafasi zifuatazo...
Habari zenu wakuu, Napenda kujitokeza kwenye jukwaa hili kwakuwa naamini humu kuna watu wafani mbalimbali na wenye connection mbalimbali.
Umri wangu ni Miaka 32
Ni mkazi wa Dar es Salaam
Nina...
Habari WanaJF.
MIMI ni kijana wa kitanzania, umri miaka 25.
Makazi: UBUNGO Dar es salaam
Elimu: Shahada ya usimamizi wa majengo na nyenzo. (2021).....Elimu sio kipaumbele changu hapa.
Naombeni...
Mimi ni bint wa miaka 21 natafuta ajira nimesoma pharmaceutical science miaka miwili ila mwaka wa pili semester ya mwisho nimeshindwa kufanya mtihani kwa kukosa Ada.
Natafuta ajira yoyote.
Habari zenu wakuu,
Mwenzenu nimejaribu kufanya research kwa hii kampuni iyonaitwa Baraki baada ya kutoa nafasi za kazi bila kupata chochote, nani anaifahamu vizuri atoe mwongozo, aina ya shughuri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.