Rafiki yangu anahitaji kazi katika kiwanda cha aina yoyote kilichopo Arusha mwenye connection amsaidie, akimfanikishia ipo laki 100000/cash akifanikisha kupata kazi kiwandani,
Wakuu naandika nikiwa nahitaji connection ya kazi ya ualimu katika ngazi zote za primary na secondary katika masomo ya Basic mathematics na Geography.
Nina uzoefu wa kufundisha secondary kwa...
Habarini wanajukwaa,hapo awali niliweka thread yenye kuonesha nia ya kubadili kituo cha kazi kwa fani hii hii ya uhasibu kwakuwa mahala nilipo mkataba unakaribia kuisha,kuna bwana mmoja humu...
Strategic Information Director
Job no: 495560
Position type: Regular Full-Time
Location: Tanzania - Dar es salaam
Division/Equivalent: Tanzania | School/Unit: Strategic Information / Monitoring &...
Habarini wanajukwaa,hapo awali niliweka thread yenye kuonesha nia ya kubadili kituo cha kazi kwa fani hii hii ya uhasibu kwakuwa mahala nilipo mkataba unakaribia kuisha,kuna bwana mmoja humu...
INVITATION FOR UNIFORM PRODUCTION TENDER
Precision Air Services Plc., is a fast growing private Tanzanian airline, which operates in partnership with Kenya Airways, with its strategies to expand...
Senior Auditor
Audit · Dar es Salaam, Dar Es Salaam
INNOVEX is a Pan-African advisory and assurance services firm providing professional services in Sub-Saharan Africa with a focus in Tanzania...
Hygiene and Sanitation Officer - KIHEWA Project
JOB PURPOSE
Ensure KIHEWA Program technical support, work plan activities implementation and operations to achieve the intended program results...
Customer Experience Senior Airport Services Agent - Zanzibar
Tanzania - TZ Location Zanzibar - ZNZ, Tanzania - TZ Category Cargo & Airport Operations Job Id 2100009K
About the role
We are...
Habari zenu ngugu zangu poleni na majukumu ya kila siku ni imani yangu kwamba wote ni wazima wa afya.
Ndugu zangu kama kichwa cha habari kinavyosema hapo juu ni kwamba shida yangu kuu nahitaji...
Habari za majukumu ya Kila siku.
Mimi ni dereva mwenye leseni daraja C naomba mwenye gari na yupo tayari tufanye kazi kwa upande wa tax za mtandao Basi tuwasiliane.
Nimefanya hii kazi kwa miaka...
Habari ndgu zangu,
Kijana wenu hapa nimekuja kuomba msaada kwenu.
Kwasasa sina mtaji hivyo nimeamua kuliko kukaa bure tu na kusubiri vya kupewa nimeona bora nijikite huko VIWANDANI.
Hivyo basi...
Nmefanya Usaili Finca J4 ila mpaka Leo siku ya 5 naona Kimya au ndio ule msemo wa ukiona manyoya ujue kashaliwa😂😂😂
Ila nilifanya vizuri nina uhakika Labda kama kuna mtu yoyote anaefahamu...
Ndg, zangu niko hapa dar natafuta kazi ya udereva kwa mtu yoyote ambaye anahitaji dereva au kukawa na mtu anaye mjua anatafuta dereva anisaidie namba niwasiliane nae naomba mnisaidie kwa hili
Kwa miaka ya karibuni imekuwa ni kazi kumpata HOUSE GIRL kuliko mtu mwenye MASTERS au BACHELOR. Hii imetokana na ongezeko la idadi kubwa ya vijana wanaomaliza vyuo kila mwaka kutoka vyuo mbali...
KNCV Tuberculosis Foundation is looking for a fulltime
Finance Officer
Duty station: Dar es Salaam, Tanzania
KNCV Tuberculosis Foundation
KNCV Tuberculosis Foundation (KNCV) is one of the...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.