Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!
Position: Lead Generator Agency Location: Bukoba Branch Type: Full time Job ID: R-15920479 Overview NBC is the oldest serving bank in Tanzania with over five decades of experience. We offer a...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
POST: ASSISTANT INSTRUCTOR II (FILM AND TV PRODUCTION) – 1 POST POST CATEGORY(S): CREATIVE AND DESIGN EMPLOYER: Taasisi ya Sanaa na Utamaduni Bagamoyo (TaSUBa) APPLICATION TIMELINE: 2021-09-03...
0 Reactions
0 Replies
601 Views
POST: ASSISTANT LECTURER (MATHEMATICS) – 1 POST POST CATEGORY(S): STATISTICS AND MATHEMATICS EMPLOYER: Arusha Technical college ATC APPLICATION TIMELINE: 2021-09-03 2021-09-16 JOB SUMMARY N/A...
0 Reactions
0 Replies
791 Views
We are pleased to announce an incredibly exciting opportunity to join our Commercial team in Dar Es Salaam as Shared Services Coordinator. Job Scope Assists the Shared Services Specialist in...
1 Reactions
0 Replies
594 Views
As an international cooperation enterprise for sustainable development with worldwide operations, the federally owned Deutsche Gesellschaft fur Internationale Zusammenarbeit (GIZ) GmbH supports...
0 Reactions
0 Replies
365 Views
Habari wadau kama kichwa kinavyosomeka. Kwa anayehitaji mdada wa kazi. Ni binti smart, anajua majukumu yake na muaminifu. Ni ndugu yangu ametoka Bukoba yupo Dar. Kama unahitaji mdada wa kazi...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Jamani napenda kuwashukuru wana JF wenzangu, kupitia nyinyi nimeweza kupata kazi japo ilikuwa ni ya muda mfupi lakini kwa nilichopata ninawashukuru sana tena sana. Haya maisha inabidi tusaidiane...
0 Reactions
0 Replies
782 Views
Habarini wakubwa, Kama kichwa kinavyojieleza. Nilikua namtafutia mtu dada wa kazi kwa bahati nzuri nikapata contacts za wadada 5 wa ziada walikua wanatafuta kazi. Kuna ambao wapo Dar na wengine...
6 Reactions
30 Replies
3K Views
Changamkieni fursa vijana.
3 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari wana jf, Mimi ni kijana wa kiume mwenye miaka 25, Ni mhitimu wa chuo kikuu, nimesoma Bachelor of public administration na kuitimu mwaka 2020, Nina ujuzi Mkubwa wa kutumia computer katika...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Soma zaidi hapa chini
0 Reactions
1 Replies
844 Views
Alpha Homes ni kampuni inayohusika na ukarabati wa nyumba yenye ofisi zake mtaa wa Ohio (Posta) jijini Dar es Salaam. Ili kufanikisha malengo yetu tunahitaji wafanyakazi wawili ambao ni Accountant...
3 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari zenu. Nimekuja kwenu nikiwa naamini kwa namna moja ama nyingine nitaweza kusaidiwa kupata kazi. Mimi ni kijana wa kiume mwenye umri wa miaka 24, mkazi wa Dar es Salaam. Elimu yangu ni...
1 Reactions
7 Replies
3K Views
Natanguliza shukrani za dhati kwa wanajukwaa Mimi ni mhitimu wa clinical medicine mwaka 2021 Naomba nafasi ya kujitolea kwenye dispensary au kituo Cha afya popote inchini kikubwa tu nipate...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Wadau naomba kuuliza kama kuna mwenye taarifa zozote kuhusu kazi za BOT zilizotangazwa mwezi July; Vipi washaanza kuita watu au bado. Mwenye taarifa atufahamishe.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Naomba kufahamishwa tofauti kati ya majukumu ya Transportation manager na Tracking Officer kwenye kampuni za usafirishaji mizigo.
1 Reactions
10 Replies
3K Views
Hivi shirika lipi la mambo ya afya ambalo naweza kujitolea ili baadae nipate kupata nafasi ya kuajiriwa zikitokea, maana nimejaribu baadhi nimekosa kabisa.
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari zenu wakuu, poleni na maombolezo. Nirejee kwenye kichwa husika. Hivi ni vigezo gani vinatumika sana katika kuajiri wafanyakazi katika mashirika makubwa kama vile UNICEF, WHO, AMREF...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Natafuta kazi yoyote ile halali, bila kuchagua kiasi Cha mshahara ila kiwe kinamudu mahitaji ya Mtanzania wa chini. Elimu yangu Chuo kikuu (hii level ya elimu ni kama CV tu, but mshahara wowote...
2 Reactions
11 Replies
1K Views
Natafuta mwanamke anaeweza kutumia kompyuta kwa ajili ya kufanya kazi ya kuingiza nyimbo kwa wateja,Mwanamke wa umri wowote anaeweza kutumia kompyuta. najua si rahisi au yawezekana haujawahi...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Back
Top Bottom