Salaam,
Kama titlle inavoeleza,natafuta ambaye anayo account ya uber/bolt(driver account) na haitumii kwa sasa labda kapata mishe mingine. Kama unayo na ungependa kuitoa kwa mtu kuitumia katika...
Hello JamiiForums Family!
I'm seeking for a connection if anyone can help, to get a Part-time job (Any! Even if it's involves physical activity) as i'm pursuing my Last Semester and i need to...
Wapendwa mimi ni dada ninayeishi na virus vya UKIMWI na ninapenda kufanya kazi na taasisi zinazohusiana na mambo ya UKIMWI, nawaomba sana mtu yoyote anayezijua hizi taasisi aniunganishe nina elimu...
Jaman watu wa Mungu naombeni msaada wenu tafadhal mtaa unazidi kuwa wa moto naombeni mnisaidie nipo tayari kufanya kazi yoyote,mahari popote na kwa ujira wwt ili mradi mkono upate kwenda kinywani...
FURSA YA AJIRA YA MWALIMU MKUU :
Anahitajika Mwalimu Mkuu haraka, sifa hitajika na namna ya kutuma maombi tafadhali Soma hapa chini.
maombi yote yatumwe kwa barua pepe : anneyyamungu@gmail.com...
Wakuu,
Napata tabu sana na hii recruitment portal.
Niliweka password ikakataa, nikachagua "forget password" ikanambia "password reset email sent" ni wiki sasa sijaona hiyo email.
Nimejaribu...
Habari wanajamvi,Nina active account ya Uber,Taxify na Little na Driving Licence class A,A2,B,C1,C2,C3,D,E,F,G Nina uzoefu wa kuendesha Uber hivyo nina experience na kazi hii.Naomba mtu mwenye...
Naitwa Juma Paul kija mhitimu wa taaluma ya ukemia upande wa madini nafanya uchenjuaji wa madini ya dhahabu kwa mfumo wa vat leaching kwa ufanisi na uwezo wa kukabiliana na udongo wenye changamoto...
Position: IT, MASS MEDIA AND GRAPHICS DESIGNER - 2 posts
Location – Dar es Salaam
Position Type – 2 Position
Organization Type – Consultancy Company
Application Deadline: 20/09/2021
Job...
Sorry kuhusu title hapo juu,
Ni grocery na sio Pub
Anahitajika muhudumu wa
Grocery maeneo ya gongolamboto -ulongoni
Vigezo:
1.Awe na umri kati ya miaka 18 mpaka 25
2.Jinsia ya kike
3.Ni kazi...
Wakuu Kwema?
Mimi kwa Sasa niko Dodoma kikazi, mnamo ijumaa Usiku alinipigia Jamaa yangu mmoja akaniambia mdogo wake kaja Dodoma kufanya Interview lakini kakosa pa kulala, hivyo anaomba nimu...
Najua kuna watu wananishangaa, na huenda wapo watakaonishauri nisubiri matokeo ya ajira zilizotoka juzi. Lakini mimi hizo nimepishana nazo.
Baada ya kumaliza chuo nilirudi nyumbani (kijijini)...
The Desert Locust Control Organization for Eastern Africa (DLCO-EA) is a regional organization established by International Convention signed by the Governments of Djibouti, Eritrea, Ethiopia...
Habar Wana ndgu, tunaona vijana tofaut tofaut tukiwa wengi kwa namna Moja na nyngine kutafuta connection, na tenda mbali mbali, kwa wenye nazo.
Kwa upande mwngne kuna wenye fani zao na wengine...
Tumbi Designated Regional Referral Hospital was initially established as dispensary in 1967,in 1970 was upgraded to a health centre with a capacity of 35 beds, then in 1996 was given special...
Kama umetulia hapo wikiendi hii nikupe dili la kutype. Pages 40, inatakiwa kesho jioni. malipo 15,000. Nicheki Pm.
WAKUU NASHUKURUNI SANA, NIMESHAPATA MTU.
The Tanzania Red Cross Society (TRCS) is a voluntary humanitarian organization established as an independent National Society (NS) by the Act of Parliament No. 71 of December 1962 and amended by...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.