Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!
Qualifications and Requirements For appointment to the post of Regional Coordinator, a candidate must; A university degree in any health science discipline, social science, international...
0 Reactions
19 Replies
1K Views
Mimi ni kijana, umri miaka 27, ninayeishi Dar es Salaam, kutokana na changamoto za kutafuta kazi, nimeona kutumia muda wangu na nguvu zangu kuwasaidia watu mbalimbali katika majukumu yao ya kila...
5 Reactions
16 Replies
2K Views
Habari. kumekua na wimbi kubwa la marafiki au watu wakaribu mnaofahamiana nao au hata msio fahamiana wamekua na kawaida ya kupiga vizinga yaani kuomba vipesa vidogovidogo hili swala kwa sasa...
11 Reactions
21 Replies
2K Views
Hello, Do you have experience in the production and supply of school uniforms to charity schools? Have you worked with not-forprofit organisations? What you need Interested parties are hereby...
0 Reactions
0 Replies
624 Views
Wakubwa shikamooni, Tangu nkiwa mtoto nilikuwa sana navutiwa na kazi ya Usalama wa Taifa yaani nikiwaona wanavyofanya kazi zao kwenye misafara ya viongozi navutiwa sana kuwa mmoja wao na...
6 Reactions
131 Replies
16K Views
Hii ni kwa yeyote mwenye ndoto ya kwenda kufanya kazi nje ya nchi: Ili mwajili wa nje ya nchi akupe stahiki zako kama mfanyakazi na wewe ufurahie fursa hiyo basi ni lazima uwe na: 1. Elimu ya...
10 Reactions
5 Replies
8K Views
Overview: WaterAid’s vision is a world where everyone, everywhere has clean water, decent toilets and good hygiene. These things should be a normal part of life for every person. They improve...
0 Reactions
0 Replies
709 Views
Planning Manager Job Title: Planning Manager Dar es Salaam, Tanzania Full-time Company Description Our Dream is to bring people together for a better world. Beer, the original social network...
0 Reactions
0 Replies
578 Views
Management Consultant Job Title: Management Consultant INNOVEX is a Pan-African advisory and assurance services firm providing professional services in Sub-Saharan Africa with a focus in...
0 Reactions
0 Replies
555 Views
Habari za wakati huu kijana mwenzenu apa nimekuja katika hili jukwaa ninashida na mchongo elimu yangu ni form four| veta level ||. proffesional niliyosoma ni eletrical and eletronics. Shukrani.
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Kwawale wabishi mtakuwa mnaelewa TAHA ni nini, naomba mwenye kujua indicative salary scales ya hawa jamaa, kuna kazi Wametoa niko interested. Hossam Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
22 Replies
7K Views
Overview Air Tanzania Company Limited (ATCL) is implementing its five years Corporate Strategic Plan (2017/2018-2020-2021) which includes the network expansion in local, regional and international...
0 Reactions
0 Replies
554 Views
Habari zenu waungwana Natakiwa nikae muda gani mara baada ya kufanya usahili wa pili kwenye kampuni binafsi li kujua kama nimekosa nafasi ya kazi au la? Hii naongelea hasa kwa zile kampuni...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Anahitajika mpishi wa kiume mwenye sifa zifuatazo KITAALUMA 1. Ujuzi wa nyama choma (foil & open fire) 2. Ujuzi wa ukaangaji chipsi na kuku (kwa ubunifu wa hali ya juu ikiwemo katika viungo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari za wakati huu wanajamii? Mimi ni muuguzi, jinsia Ke, umri miaka 28, naishi Mbezi beach Dar es Salaam, nina leseni ya uuguzi, nina uzoefu wa kazi hii ya uuguzi wa mwaka mmoja. Naomba...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari za mda huu wana jamii forum..nipende kuwasilisha maombi haya kwenu..yeye ni dada/binti wa miaka 22 anaishi Mwanza kwa sasa ana elimu ya level ya form four anatafuta kazi ya kufanya Dar es...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Poleni na majukumu. Mimi ni operator mwenye uzoefu kazini zaidi ya miaka 3. Kuna baadhi ya miradi nilifanya kazi Kama operator wa excavator sehem nyingine Kama operator wa bulldozer na sehem...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Habarini wapendwa poleni na majukumu. MIMI NI KIJANA JINSIA YA KIUME MIAKA 27. Natafuka kazi ngumu kama kupakia vifusi kwenye magari kama mchanga mawe n.k Ujuzi nilionao : *kutengeneza masai...
3 Reactions
4 Replies
1K Views
Naomba niwaalert job seekers kwamba kuna watu wanapost kazi Zoom Tanzania kwa kutumia jina la Organization ya World Direct kitu ambacho sio kweli as ukishaapply wanataka ufanye PAR test na kulipia...
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Back
Top Bottom