Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!
Habari Wana jf, mm ni kijana jinsia Me naishi DSM natafuta mafundi wa kunishika mkono kwnye tenda mbalimbali za ujenzi. Naweza safirI mahali popote jijini Dar es Salaam pia nshafanya kazi mbali...
6 Reactions
13 Replies
4K Views
Wana jamvi habari! Nachelewa sana kuamini kupata kazi itakayoendana na taaluma yangu ya ualimu. Sasa mwanye connection ya kazi yoyote halali ya kuingiza kipato nipo hapa iwe sehemu yoyite...
2 Reactions
9 Replies
1K Views
Habari wakuu, Naomba msaada kwa atakaenisaidia kupata kazi upande wa mauzo na masoko(Sales and Marketing) kampuni yoyote Dar es Salaam. Mimi ni muajiliwa wa kampuni fulani ila kituo changu cha...
1 Reactions
8 Replies
3K Views
Naitwa Emmanuel Harold nipo Morogoro, Nina Diploma ya Animal.Health, Pia nina Degree ya Agriculture Extension. Ninatafuta ajira popote pale. Maana maisha yamebana na ajira imekua changamoto kwa...
1 Reactions
6 Replies
3K Views
Ndugu zangu, Mambo si mambo naombeni connection ya kazi hata za udereva nna leseni ni kijana mchapakazi na muaminifu. Elimu kidato cha nne pia nina familia. Napatikana Dar es Salaam, Kongowe...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Habari wadau yoyote mwenye kujua swala zima lakupata Leseni ya uwakala wa ajira.
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Degree hazitakiwi kwa kiasi kikubwa, hivyo basi watoto wetu wakitoka kidato cha 4 waingie vyuo vya kati, then wakiwa wanapambana kupata degree wawe wamepata kazi katikati hapa.
26 Reactions
136 Replies
16K Views
Wakuu. Wakala wa Vipimo Tanzania wametangaza Nafasi za Kazi katika kada zifuatazo. 1. Afisa Vipimo daraja la III~ Nafasi 150. 2. Dereva Daraja la II - Nafasi. 55 Mwisho wa Kutuma Maombi ni Tarehe...
4 Reactions
18 Replies
4K Views
Kwa waliofanya oral na sekretarieti ya ajira. Waliofaulu wanapigiwa simu na ma hr wa TPA na kutakiwa kwenda. Kuripoti kazini Jumatatu 25/03/2019. Namshukuru sana Mwenyezi Mungu kwa kuniwezesha...
16 Reactions
31 Replies
9K Views
Mkoa wa Katavi, wilaya ya Mpanda kuna kampuni moja ni maarufu sana inajihusisha na mambo ya mazao inatoa mikataba feki kwa mwafanyakazi wake pia inachelewa sana kulipa mishahara, kima chao cha...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Wakuu Salaam, Nina Bachelor ya Statistics, Research and Mathematics. Ninatafuta kazi yoyote ile. Kwa mawasiliano zaidi njoo PM
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wapendwa nawasalimu kwa jina la Bwana wetu Yesu Kristo! Poleni na Majukumu ya kimaisha na harakati za kila siku. Leo nakuja kwenu tena hapa nikiomba kuunganishwa na mtu ambaye anafanya kazi pale...
2 Reactions
4 Replies
1K Views
Duties Administrative duties and Events Coordination: 50% Assists with the Letters of Requests (LORs) and Letters of Acceptance (LOA) and LOAs for the FMS cases when requested by OSC, Chief...
0 Reactions
0 Replies
853 Views
About School Uru Community Pre and Primary Academy is a school under Neema International located in the village in Moshi, Kilimanjaro. The school provides free primary level education to...
2 Reactions
0 Replies
800 Views
Introduction Sustainability in Action SiA is a non-government organization operating in Tanzania mainland aiming to enable the community to achieve sustainable development through sustainable...
0 Reactions
0 Replies
658 Views
Biomedical Engineering ni moja ya idea muhimu kwenye sekta ya afya. Ni idara kama Pharmacy, Radiology, Medical Laboratory, Dental n.k Kwa Tanzania ni Idara changa sana katika hospitali...
5 Reactions
32 Replies
7K Views
Job Positions CCTV Operator 6 Posts at Shanta Mining Co. Ltd SHANTA MINING COMPANY LIMITED EMPLOYMENT OPPORTUNITY CCTV OPERATORS (6 POSTS) SCOPE OF ROLE LEVEL OF WORK: 1 ROLE TYPE...
3 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari wana jamii forum, Naitwa Peter naishi dar es salaam. Natafuta kazi yoyote ya kufanya ili niweze kuendesha maisha. Nimesoma mpaka chuo, mwalimu wa shule ya msingi..lakini sijabahatika...
4 Reactions
3 Replies
2K Views
Wasalaaaam wakuu, Nina imani ninyi wote ni wazima wa afya, bila kupoteza muda niende kwenye mada tajwa hapo kama inavyojieleza, katika kipindi cha hivi karibuni kumekuwa na wimbi kubwa la vijana...
2 Reactions
6 Replies
2K Views
Back
Top Bottom