Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!
Mimi ni Msichana umri miaka 25, Nina shahada ya kwanza ya mambo ya kibenki na huduma za kifedha ( Bachelor of Commerce in Banking & Financial services) kutoka mojawapo ya vyuo vikuu hapa DSM...
21 Reactions
107 Replies
17K Views
Habari! Mimi ni dereva natafuta mmiliki wa gari ambae ataruhusu gari lake kwa kazi za uber. Nikiwa kama dereva tutakubaliana kiasi cha marejesho kwa siku/wiki. Nina uzoefu wa kazi hiyo Account...
1 Reactions
31 Replies
6K Views
Habari wakuu, Nahitaji kazi yoyote kwa sasa, kiwango cha elimu yangu ni shahada ya ualimu. Ila nipo tayari kufanya kazi yoyote nipo Morogoro maeneo ya Oil Com.
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Wakuu nahitaji mwenye kazi anisaidie! Naishi Dar. Malipo walau iwe 4,000 Au zaidi kwa siku. Elimu nilifeli form 4.
9 Reactions
70 Replies
9K Views
Asante. Wamepatikana, asante wachache kwa mliokuja PM na offfer zenu, tutaigawa wote tupate.
4 Reactions
16 Replies
2K Views
Wanahitajia vijana waliosomea Account, Finance and Administration fresh from school ngazi ya Certificate, Diploma au Degree(yeyote kati ya hizi) Kama wewe ni muhusika naomba namba yako PM au kama...
1 Reactions
25 Replies
4K Views
Poleni na kazi wadau wa JF. Kutoka na sababu mbali mbali watu huwa wanabadili kazi sina haja ya kuzitaja maana zinajulikana. Napenda nijue ikitokea mtu kaacha kazi ya taasisi ya serikali na...
0 Reactions
16 Replies
8K Views
Habari wanajamii? Mimi ni S jinsia Ke, umri miaka 28, elimu yangu ni shahada ya Uuguzi bado sijapata leseni ila nategemea kuipata mwezi wa 7 mwaka huu, Naomba kazi yoyote kwa sasa inayoweza...
13 Reactions
26 Replies
4K Views
Ni biashara ya kutengeneza nguo aina tofauti kwa jumla na rejareja. Na tunatafuta mtu wa kusaidia na kazi tofauti za ushonaji. Sifa 1. Awe anajua kushona (sio mwanafunzi) 2. Awe mchapakazi 3. Awe...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kwa anaye juu utaratibu wa kuomba kazi za ufundi katika mgodi atujuze maana sisi wangine ni mafundi na nafasi wanazo tangaza dah, ni zawasomi wa kiwango cha lami, tujuzane basi na sisi mafundi...
0 Reactions
2 Replies
928 Views
Habari wadau,Nina jengo la ghorofa moja maeneo mazuri sana,jengo lina apartment 6, kinachohitajika ni ukarabati wa kina ili kulifanya la kisasa. :::Estimate 100ml.zitahitajika. :::Rent at that...
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Habari za wakati huu Wakuu. Kwanza kabisa nianze kwa kutoa pole kwa changamoto mbalimbali za kimaisha mnazozikabili. Mimi ni kijana wa kitanzania mwenye umri wa miaka 23, kitaaluma ni mtaalamu wa...
4 Reactions
4 Replies
2K Views
Mimi ni mhitimu wa veta pia Nina ozoefu wa kufanya kazi kwenye garage mbalimbali. natafta kaz kwenye garage, kiwanda au sekta yeyote hle Napatkana kw no za simu 0626645648 & 0714624097 Email...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari wadau, Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 30, naishi Dar es salam, Wazo, Salasala. Ninashahada ya ualimu wa masomo ya Geography na English, pia naweza kutumia compyuta japo sio sana...
1 Reactions
2 Replies
915 Views
Habari ya leo wakuu, Mimi ni kijana wa kiume, umri wangu miaka 29 . Nna mke na mtoto 1, Naishi Dar Es Salaam Elimu yangu kidato cha nne Nimejitokeza hapa kuomba kazi ya sales and marketing ama...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Swali langu kwanini serikali hua haifikilii Kama Kuna Mafundi mtaani wanajenga taifa nawanamchango mkubwa kwenye taifa hili? Sent from my Nokia 1 using JamiiForums mobile app
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari zenu, Ninatafuta ajira kwa kuandika online, kwa mtu mwenye anafahamu, anamiliki online Chanel yoyote inayolipa, msaada wa connection ninahitaji. Naandika kwa lugha ya kiswahili ni...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wahitimu wa chuo mwaka 2015 tuokosa ajira tukutane hapa japo tutiane moyo maana mategemeo yetu yalikuwa makubwa saaaana Karibuni
3 Reactions
21 Replies
3K Views
Back
Top Bottom