1. POSITION TITLE: OFFICE SECRETARY (1 POST).
Educational/ Professional Qualifications:
● A National form IV/VI certificate.
● Must have a NTA level 6 Certificate in secretarial Services or...
Habari wakuu, naomba kwa anayeweza kujua hili tatizo anisaidie.
Nataka kufanya application ya hizi nafasi za ualimu zilizotangazwa, nakutana na changamoto moja, kila nikijaribu Ku log in...
Habari naitwa John Niko Dar natafuta kazi yoyote. Mimi ni mwanafunzi wa chuo kikuu Kenya, ila kwasasa Niko likizo.
Natafuta kazi yoyote.
Kazi ya halali.
Mawasilano yangu: +254781847643( WhatsApp)...
WWF Tanzania Arusha office through its TNRF/ WWF implement and supported by BMZ Programme is seeking to recruit an engineer consultant to supervise its construction works in the Northern part of...
Nawasilimu kwa jina la jamuhuri ya muungano wa Tanzania
Mimi ni binti umri wa miaka 25 kwasasa naishi Dar es Salaam ni mhitimu wa shahada ya maendeleo ya jamii ( degree in social development)...
Ninaitwa joseph Msai mkazi wa mkoa wa Mara umri wangu ni miaka 22.
Nimehitimu elimu ya sekondari. Ninatafuta kazi kwa yeyote mwenye ajira anaweza nisaidia... Iwe ni shirika la mikopo au wakala wa...
Mimi ni kijan mwenye umli wa miaka 22 ninaomba mchngo/msaada wenu wadau katika upnde wa uandkaji wa barua ya maomb ya kazi. Barua znatofautiana kwa upnde wangu mimi barua ninayoinzngumzia ni barua...
Mimi ni Civil technician kutokana na uhaba wa contract za ujenzi kwa sasa niko mtaani naombeni kwa yoyote anayeweza kunisaidia kazi yoyote halali.
Note sichagui kazi hata kama unataka kazi ya...
Education: Bachelor /degree
Level; Basic technician certificate in banking and finance
Level; Ordinary diploma in banking and finance
Level; Bachelor degree in banking and finance
Experience...
Wakuu salam,
Mimi ni mhitimu wa chuo mwalimu wa sekondari kutokana na uhaba wa ajira nafanya Kazi za ujenzi kama kibarua. Nashukuru angalau sikosi chochote nimeridhika na Kazi ninayofanya ingawa...
Wakuu habari za kazi, Naomba msaada wenu wa kupata kazi ya udereva, mtu yeyote mwenye conection anisaidie, nilisomea veta leseni yangu ina madalaja A B D E, pia nina uzoefu wa zaidi ya miaka...
Waungwana habari.
Kama kichwa cha habari kilivyowazi hapo juu.kitaaluma mimi ni mwalimu wa shule ya msingi japo nimefanikiwa ku upgrade Elimu yangu kwa level ya bachelor. Mazingira ya mwalimu...
(Ajira mpya Wizara ya Afya) May 2021.
As for MoHCDGEC announces vacancies for graduates to apply through the website www.moh.go.tz and other media like magazines based on the cadres as per...
Habari zenu ndugu zangu,
Kwanza niombe radhi kwenu, ni hali ya maisha kuwa ngumu jamani. Leo nimeona bora nije kwa ndugu zangu humu huenda nikapata msaada ili nipate ridhiki ya kukizi maisha...
Ndugu zangu, naombeni kazi yoyote iwe ya kwenda na kurudi, elimu Kidato cha Nne, naweza upishi, kufua. Pia, duka aina yoyote na uwakala
Niko Kilimanjaro/Mwanga
Jina langu naitwa #####, ni mkazi Wa Mbeya, kwasasa naishi mkoani Njombe taaluma yangu ni mwalimu.
ELIMU:
Nimesomea bachelor of arts with education Chuo kikuu cha Dodoma, na kuhitimu mwaka 2017...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.