Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!
Mpishi mzoefu na aliebobea katika mapishi ya aina mbalimbali anahitaji kazi.Iwe ajira ya kudumu au part time;nyumbani au hotel/mgahawani.Pia nafundisha wale wanaotaka kujifunza mapishi. Wasiliana...
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Habarini wapendwa poleni na majukumu. Tafadhali kumekuwa na wimbi kubwa la ukosefu wa ajira baadhi ya changamoto ni ukosefu wa marefa au conection au mdhamini eneo la mradi. Tafadhali kama wewe...
6 Reactions
4 Replies
1K Views
JOB OPPORTUNITIES Bonyeza hapo chini kudownload document PDF: TANGAZO LA KAZI UTUMISHI VETA, CBE, MNH PDF
1 Reactions
0 Replies
983 Views
JOB OPPORTUNITIES Bonyeza kila moja hapo chini kusoma zaidi na kuapply: 1. Risk Data Analyst- (1 Post) 2. Head, Personal Banking- (1 Post) 3. Senior Relationship Manager, Institutional...
1 Reactions
1 Replies
732 Views
Habari zenu jamani, hakika Dunia tambalabovu niukweli kwamba maisha yamenipiga nimepigika nipo chapachapa. Hivyo ninaomba kwaanaeweza kunisaidia Nipate shule yoyote ya kujitolea sitaki kulipwa...
10 Reactions
64 Replies
7K Views
Habari ndugu zangu, mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 26 Me ninaishi Dar es salaam, nina stashahada ya ugavi ya chuo cha biashara. Ni muda nimeangaika na ajira mpaka ilifika hatua nikaamua...
4 Reactions
2 Replies
999 Views
Imepita wiki sasa baada ya Halmashauri ya jiji la Dar es Salaam kufunga pazia la kupokea maombi ya kazi ya ukusanyaji ushuru je, kuna mtu alishaitwa au connection ni muhimu pia.
0 Reactions
6 Replies
1K Views
INTERVIEW ANNOUNCEMENT BOFYA chini hapo kudownload pdf ya MAJINA: TANGAZO LA USAILI UTUMISHI PDF
0 Reactions
8 Replies
2K Views
JOB OPPORTUNITIES Bonyeza kila moja hapo chini kusoma zaidi na kuapply: 1. Officer In Charge- (1 Post) 2. Special Assistant To the Registrar- (1 Post)
1 Reactions
0 Replies
550 Views
Habari Wakuu Mambo vipi? Anatafuta kazi ya library. Amesomea base ya library kwa shule za secondary na primary school mpaka chuo kwa upande wa maktaba, jinsia ni wa kike yupo dar es salaam, namba...
0 Reactions
0 Replies
818 Views
Mimi mkazi wa Dar es Salaam, elimu yangu ni mhitimu wa form six. Ninatafuta kazi yoyote. Experience yangu ni katika kubeba mizigo mizito, na kibarua wa kujenga. Pia nina ujuzi wa kutumia...
3 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari zenu ndugu, Mimi ni Kijana wa kiume umri miaka 24 na mhitimu wa Chuo kikuu cha Dar es salaam (UDSM) katika shahada ya Sayansi Aqua na Uvuvi (Bachelor of science in Aquatic sciences and...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari zenu Nimefikilia kuanzisha biashara itakayoniongezea kipato mawazo yangu yamefikia nifungue sallon ya kiume tu nimuweke mtu mimi huku niendelee na kishe nyingine. Sasa msaada wangu ni huu...
1 Reactions
14 Replies
5K Views
Name: Kanuti Daudi Qualifications: Bsc in Chemistry Work experience: 4 years on Quality control/ Quality Assurance assistant Head. Searching Job vacancy related to above details.
3 Reactions
49 Replies
5K Views
Natafuta kijana wa kiume anayejua kutunza ng'ombe. Awe anajua kukamua maziwa pia Mahali: Bagamoyo Mshahara: 60000 kwa mwezi + atapewa chumba cha kukaa + atapewa chakula Kama unaitaji nchek pm...
3 Reactions
11 Replies
3K Views
1 Reactions
10 Replies
4K Views
Position: Business Development Manager Reporting to: General Manager dotted line to Chief Commercial Officer Responsibilities: Oversee entire sales of GSM Home Products countrywide channeled to...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Naitwa Mwl. Samwel Raymond Mfaume, Nilihitimu katika chuo kikuu kishiriki cha elimu Mkwawa na kutunukiwa Shahada ya kwanza ya ualimu ya Chuo kikuu cha Dar es Salaam mwaka 2019 kwa masomo ya...
4 Reactions
4 Replies
2K Views
hatimaye BOT waanza kuita kwa ajili ya interview.Ndugu yangu kapigiwa tayari kwenda kwenye interview.
1 Reactions
52 Replies
18K Views
Habari za leo jamani mimi ninakuja na suala lingine tofauti, nimekosa wapi ninaweza kupata msaada, nilikuwa natafuta kazi/ajira imekuwa ngumu kwajili ya kipindi hichi cha corona na hali ngumu ya...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom