Wametuma majibu ya job application na kusema kuwa interview itafanyika Dodoma zilipo ofisi zao na kwa watakaoshindwa kufika ofisini basi wapange muda wa kufanyia interview kupitia Skype na...
Mimi mwalimu wa Mathematics na ICT, napatikana Iringa.
Nipo tayari kufanya kazi mkoa wowote. Nimehitimu shahada mwaka 2016.
Kwa mawasiliano nitafute kupitia namba hii: 0764125128
Asalaam Alaikum.
Ajira Ajira Ajira.
Mafundi Waashi (Masons) waume kwa wake wenye uzoefu wa kazi na wanaoweza kufanya kazi kwa kujituma bila kusimamiwa.Wawe na shauku na uwezo wa kujifunza na...
Kama unafahamu namna watu wanaweza kupata kazi/ vibarua mradi wa bwawa la umeme mto rufiji kwenye hifadhi ya selous ,weka taarifa tafadhali wazee wa fursa waruke nayo.
Wadau habarini
Nina changamoto ya kujiuliza je nimwandikie historia ya suala langu katibu mkuu kiongozi au nimwandikie maneno gani aweze kulegeza masharti ya kuniajiri.
Nimepata barua toja kwa...
Natafuta kijana wa kazi ya shamba ya kutunza Nguruwe.Nahitaji awe na uzoefu wa kazi hii hasa ulishaji,upandishaji na utunzaji wa watoto.
Shamba lipo Morogoro manispaa.
Tuwasiliane kwa sms kwa...
1. JOB TITLE: Driver II (2 POSTS)
QUALIFICATIONS
Holder of Certificate of Secondary Education (CSE) or Advanced Certificate of Secondary Education (ACSE) with a valid driving license grade E and...
Jamani wapendwa habari zenu.
Nimevumilia nimechoka sasa nimekaa sana nyumbani mpaka nimechoka hata senti inanipiga chenga jamani.
Naombeni kazi sichagui yoyote nafanya muhimu mkono uingie...
Habari wakuu.
Anatafutwa mtu mwenye uelewa wa masuala ya ndoa za serikali kwa ajili ya kumsaidia mdau aliyeko nje ya nchi.
Unaweza kuwa mkoa wowote lakini ukiwa Dar au karibu na Dar itakuwa bora...
Reporting Line: Senior Manager, Institutional Banking
Location: Northern Zone – Based in Arusha (Looking after Arusha, Kilimanjaro & Manyara)
Job Purpose: The objective to grow and retain a...
Elimu ni stashahada ya uhasibu ila kazi yoyote nipo tayari naomba msaada ma boss mliopo humu Mimi binti wa miaka 25 naishi Kibaha, Pwani
0628882267
Asante!
TPC Ltd Jobs 2021/ TPC Ltd Vacancies 2021
TPC Ltd is one of the fast-growing sugar producing companies in Tanzania. The company is situated at the foot of Mount Kilimanjaro, 22kms south of Moshi...
JOB VACANCY
JOB TITLE: Accountant Officer
Location: Dar es salaam
In an effort to stream line operations, Serene Microfinance Ltd seeks to recruit qualified Accountant Officer to work...
Wanahitajika wadada 3 kwa ajili ya kazi kwenye salon za kiume.
Qualities: Wawe smart na presentable. Age ni 20-27.
Salon ziko Musoma, so anybody yuko willing kufanya kazi au anajua mtu yoyote...
Lubricant Plant Chemists (2 Position)
Company: MOGAS Tanzania Ltd
Location: Tanzania
Closing Date: 2020-03-31
OVERVIEW
MOGAS is a leading integrated downstream oil marketing company in East &...
Habari wana JF
Samahani ningependa kuuliza kwa mwenye taarifa zozote kuhusu hiki kitu,
Who has the upper hand kwenye kutoa final candidates wa ajira husika katika hizi taasisi zinazo fanya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.