Salaam wakuu.
Mwishoni mwa mwaka jana chuo kikuu cha ardhi kilitangaza nafasi za kazi na mwisho wa kutuma maombi ilikuwa ni tarehe 27/12/2020.
Naomba kama kuna waliofanikiwa kuitwa kwenye...
Wadau natumai mu wazima.
Nimeziona kazi za Steigler Gauge zile 800+ nina vigezo vya kuomba .
Nimepata changamoto kwenye kutuma hzi application. Naombeni msaada ili nitume:
Ila kwenye tangazo...
Mimi ni binti umri miaka 27, Naomba ambae ana uwezo wa kunisaidia kupata ajira yoyote inayohusiana na usimamizi wa rasilimali yoyote Ile ikiwemo watu na kadhalika nina hiyo experience.
Mkoa...
1. JOB TITLE: DATA OFFICER (20 Posts)
WORKSTATION: Dar Es Salaam
REPORTING TO: Facility In-charge
Duties and Responsibilities:
Data Entry Officers will be under the direct supervision of a...
Habari zenu wanajukwaa humu ndani Kuna watu wema sana Mimi nimefanikiwa kupitia jukwaa hili hili 🙏🙏🙏
Sasa Leo nimekuja na ombi jingine 😭 Kama wahitaji muhasibu anaeweza kazi bila kusimamiwa Kama...
IRENE HAIR BEUTY SALON
NAFASI YA KAZI
location:kigamboni,ferry
[emoji419]Anahitajika dada au kaka anayejua kusuka vizuri mitindo yote [emoji139]♀️
[emoji419]awe anajituma mchapakazi na kuwahi...
mambo vip wakuu!
nimekumbuka kisa kilichoniumiza sana..
miaka iliyopita nilifaulu kupata kazi kwenye shirika la umma lakini ilikuwa mkataba.baada ya mkataba niliendelea kusaka ajira hapa na pale...
Wakuu,
Serikali ina kazi nyingi tu na inaajiri sana karibu kila siku, na inaajiri watu wa status tofauti kabisa.
Siyo kila serikali inapoajiri lazima itangaze publically.Hapana. Serikali ina...
Natumaini muwazima wa afya.
Mimi ni binti nina uhitaji wa kazi yoyote iliyo halali. Nina Bachelor of science in Forestry kutoka chuo kikuu cha kilimo cha Sokoine(SUA)
Sina uzoefu wowote, nina...
Mimi ni binti niliyehitimu masomo ya uandishi habari na mawasiliano kwa uma, ninauzoefu na kazi kwa mwaka mmoja,, msaada naweza kufanya kazi yoyote halali yenye maslahi lengo kujikimu kimaisha ...
Wakuu natumai mko poa.
Nauliza mishahara ya hawa watu chini kwa mwezi. (Gross salaries/Net Salaries).
1. PUMP OPERATORS
2. ELECTRICAL TECHNICIAN
Kwenye PumpStations za mashirika kama DAWASCO...
Helasita Secondary School iliyopo wilaya ya Temeke mkoa wa Dar es Salaam bado tunahitaji mlezi wa vijana wetu (Patron) hivyo bado nafasi ipo wazi tunaendelea kumtafuta mtu huyo.
Priority ni kwa...
Ministry of Health, Community Development, Gender, Elderly and Children (MOHCDGEC) with financial support from CDC/PEPFAR is looking for enthusiastic, creative and energetic individuals whom will...
The IRC is seeking a motivated and enthusiastic Education M&E Officer to carry out M&E activities for the UNHCR Education project in Kibondo and Kasulu / Mtendeli& Nyarugusu Refugee Camp. Working...
Musoma Utalii Training College is a college registered by Ministry of Education, National Council for Technical Education (NACTE) and Vocational Education Training Authority (VETA). We are...
POST: PROJECT ENGINEER II – 5 POST
POST CATEGORY(S): ENGINEERING AND CONSTRUCTION
EMPLOYER: Rural Energy Agency (REA)
APPLICATION TIMELINE: 2021-01-28 2021-02-10
JOB SUMMARY N/A
DUTIES AND...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.