Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!
Tunatafuta Mbunifu wa Picha na Sanaa ya Mwendo kujiunga na timu yetu. Muhitaji anapaswa kuwa na ujuzi wa kudesign "mockups" kwa miradi mbalimbali, michoro ya 3D, michoro ya kawaida ya 2D, na...
1 Reactions
6 Replies
433 Views
Habari zenu wanajukwaa, Naomba msaada wa maswali yanayoulizwa kwenye usaili wa Afisa Biashara (written interview) Utumishi, ambayo imejumuisha Kada mbalimbali za biashara. Asanteni.
0 Reactions
1 Replies
722 Views
Habari za leo wadau wa JF. Mimi ni Mwalim wa Kingereza Ngazi ya Shahada. Naomba uzoefu kidogo kwa wale waliofanya usili wa Utumishi wa online wa hivi karibuni. Je, 1. Maswali ni ya kuchagua au...
0 Reactions
4 Replies
517 Views
Samahani naitwa Clause Michael mng'ong'o nipo njombe Makambako,naomba kama Kuna dereva wa it au mtu ana connection na madereva wa it naomba kuwasiliana naye 0765091194 WhatsApp au kawaida.
2 Reactions
2 Replies
290 Views
Naomba kujua kiwango cha mshahara wa Wahudumu wa Afya ngazi ya jamii
5 Reactions
68 Replies
7K Views
Kuna habari zinasambaa kuwa interview ya tabibu daraja la II (Clinical Officers ) imehairishwa mpaka Ijumaa tarehe 13/9/2024. Mwenye uhakika na tarifa hiyo atusaidie with evidence.
1 Reactions
33 Replies
1K Views
Habari wakuu, Nimesomea Science and Laboratory Technology(FTC) kutoka DIT na Nina uzoefu wa zaidi ya miaka kumi nikifanya kwenye kampuni na viwanda tofauti. Mwenye connection tupeane wakuu.
1 Reactions
0 Replies
257 Views
Leo nataka kujibu swali hili kwa kuzingatia uzoefu na usaili unaoendeshwa na mataifa mengine katika kada ya elimu. Kwanza, walimu wengi wanaojiandaa kwa mitihani ya usaili wa Sekretarieti ya...
4 Reactions
3 Replies
2K Views
Bila shaka mnaendelea vizuri wakuu. Kama mada inavojieleza, kama kunamtu ana connection na kazi yeyote halali naomba anisaidie. Asanteni
1 Reactions
10 Replies
621 Views
Tuna mradi wa viwanja maeneo ya mwasonga Kigamboni, anahitajika mkandarasi wa barabara ambae atajenga barabara za ndani ya mradi na sisi tutampa sehemu ya ardhi/viwanja vilivyopimwa. Mradi Upo...
1 Reactions
1 Replies
238 Views
Ninatafuta kazi, Mimi ni mteknolojia wa maabara za hospitali niliyesajiliwa na baraza la HLPC nina leseni hai na nipo tayari kufanya kazi popote Tanzania. Natanguliza shukrani🙏
4 Reactions
22 Replies
636 Views
Hope wote mko poa kijana wenu naomba connection ya kupata pikipiki ya mkataba Makazi yangu ni Kisongo Arusha Namba yangu 0738527799 Ninauzoefu wa miaka mitatu kuendesha pikipiki na miaka miwili...
1 Reactions
1 Replies
345 Views
Leo nakuletea website tano bora zenye habari za ajira, kaa na mimi. 1. Storikka - storikka.co.tz 2. Mabumbe 3. Ajiraleo - ajiraleo.com 4. Brightermonday - brightermonday.co.tz 5. Ajiraportal...
2 Reactions
38 Replies
11K Views
Naanza na pole kwa watu wa maabara kwa kupewa mitihani ya watoto wa shule wakati ninyi tayari ni watu wazima wa kazini. Nimeona niandike thread hii kabla sijafanya mtihani hiyo ili nije niisome...
8 Reactions
38 Replies
2K Views
Leta hoja yako, ijikite kwenye 1. Kwanini miaka mingi kada hizi hazikuwa na usaili isipokuwa sasa. 2. changamoto kiujumla za Mchakato wa usaili kwa kada hizi 3. Faida ya kufanya na kutofanya...
5 Reactions
126 Replies
4K Views
Wandugu hapa jamvini nadhani mnaendelea kutafuta ugali wenu wa kila siku. Ninataka kuhamia shirika moja la uhifadhi nchini nimefuatilia nafasi nimeambiwa ipo kumcheki HR kakaza anasema hamna...
2 Reactions
19 Replies
844 Views
Wale wenye sifa tafadhali,mnakaribishwa.
1 Reactions
1 Replies
752 Views
Kada ya ualimu/Afya zamani "Ukimaliza unasubiri kupangiwa kituo" - Saizi milolongo lundo...
1 Reactions
8 Replies
638 Views
Habari wapendwa mimi ni kijana wa kike nina umri wa miaka 28 elimu yangu ni kidato cha nne pia nina certificate ya entrepreneurship natafuta kazi yoyote kati ya hizi:- Stationary Secretary Duka...
1 Reactions
15 Replies
759 Views
Leo utumishi wametoa majina ya wasailiwa kada ya afya, usaili huo utaanza septemba 2 mpaka tarehe 9, katika mikoa waliombea nafasi! Niwapongeze sekretariati ya umma kwa kazi nzuri ambapo kwa sasa...
6 Reactions
77 Replies
8K Views
Back
Top Bottom