Job type: Full-time
ESL & Typing Teacher
Want to work for one of the largest charities of its kind in Africa? Are you enthusiastic about teaching both English and essential technological skills...
Operations and Finance Manager
Location: Unguja, Zanzibar, Tanzania
Contract Length: 1 years (renewable)
Commitment: Full time, 37.5 hours/week
Compensation: 3,600,00 TZS/month (gross) + health...
Job type: Full-time
Let’s grow together, become our
LEAD KEY ACCOUNT MANAGER. SME
A minimum of 3 years of experience in account acquisition/management.
CORE RESPONSIBILITIES
■ To achieve agreed...
Job type: Full-time
Dreaming big is in our DNA. It’s who we are as a company. It’s our culture. It’s our heritage. And more than ever, it’s our future. A future where we’re always looking...
Habari wana JF,
Hivi ni kweli utumishi wanataka cheti chenye majina matatu?
Na je sisi ambao vyeti vya taaluma vina Initial tu pale jina la kati kati inakuwaje?
Je, sisi wenye vyeti vya taaluma...
Wakuu, hii mamlaka ya serikali inayoendeshwa kwa kodi za wavuja jasho ina unyeti sana kiasi cha watumishi wake kuenjoy pepo duniani?
Cjajua Taasisi zingine kama TRA mishahara yao ikoje ila...
Habari Zenu,
Mimi ni Kijana, Umri 24, Ndoto yangu siku moja niwe mpiga picha wa Rais wa Tanzania, nimeanza kazi za upigaji picha, na uchukuaji Matukio kwa mtindo wa Video miaka 9 nyuma nimepata...
Habarini wakuu,nimeomba nafasi ya kujitolea kwenye halmashauri,nashukuru Mungu nimepata nafasi ila nawaza kwa huu mfumo wa kila ajira kupitia utumishi,vipi kujitolea kunaweza kuwa na tija nje ya...
Wakuu, kuna aliyepitia changamoto kama hii ya ku Log in kwenye mfumo jana au leo akakuta Under maintenance?
MREJESHO: Wakuu naona mfumo umefunguka tayari mambo yako vizuri
Habari zenu Wakuu.
Jamani kama amekosekana wa kunishika mkono kupata KAZI) Kibarua, Tafadhali nisaidieni majina na location ya viwanda ambavyo wanapokea vibarua.
Nawaomba sana, Nikipata kazi ya...
Habari za siku kadhaa ndugu zangu.
Narudi tena kwenu wakuu. Week kadhaa zilizopita nilileta bandiko la kutafuta kazi hapa, sipendi nieleze tena mapito yangu ila nataka kusema tu bado kwa upande...
Habari wakuu,natumai nyote wazima.Nisiwachoshe niende katika mada.
Wakuu Mwenye connection zozote za kibarua au kazi ninaomba wakuu.
Nina hali mbaya sana.ninaishi na mama wakuu kheri nipate...
Job type: Full-time
Job Title: Secondary School Principal
Location: International School of Tanganyika, Dar es Salaam, Tanzania
Effective Date: August 2025
School Overview:
Student Enrollment...
Habari za kazi kaka tunaomba utupazie sauti tuweze kufahamu sheria pamoja na utaratibu wa sekretarieti ya ajira utumishi katika mchakato wa usahili.
Hivi karibuni 1/09/2024 zilitangazwa ajira za...
Habari zenu,
Nimeona niombe humu kwenye JamiiForums kwasababu najuwa tupo watu wa sehemu tofauti tofauti pia wapo waliobarikiwa kiuwezo na wengine kiupeo. Naombeni connection jamani ya part time...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.