Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!
Habari wana JF, kumekuwa na malalamiko ya watu wengi sana kuhusu system ya ajira portal na hata pale unapokuwa na changamoto fulani na kuhitaji msaada kutoka kwao kupitia "help desk" numbers...
2 Reactions
30 Replies
5K Views
The United Republic of Tanzania, President's Office, Public Service Recruitment Secretariat Recruitment POST DETAILS POST DEREVA DARAJA LA II (DRIVER II) - 514 POST EMPLOYER MDAs & LGAs...
1 Reactions
15 Replies
906 Views
1. Nafasi ni moja. 2. Sihitaji mambo mengi. 3. Weka namba yako ya simu pm. 3. Hakikisha umekamilika. 4. Uzowefu usipungue mwaka 2. TAHADHARI:- A. Vijana mkitaka kusaidiwa basi jitahidi kuwa na...
11 Reactions
30 Replies
939 Views
Mimi si mpenzi sana wa kuanzisha mada kwenye mitandao ila huwa nacomment kwenye mada hasa za mpira nakupita ila kuna hili la hali ya ajira nchini tunapoelekea nchi yetu itakuwa ya ajabu sana na...
7 Reactions
11 Replies
681 Views
Habri Aliye wahi kuomba Tutor grade ii of english for NTA level 6 pale ajira PORTAL au curriculum developer ii pale TIE kupitia ajira PORTAL Naomba anisaidie nondo na jinsi maswali yanavyo toka au...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Kama kichwa Cha habari kinavyosema hapo juu natafuta vijana watatu nitaowaajiri waje wafyatue matofali malipo ni 5000 Kwa siku kula juu Yao Kwa waliotayari waje pm mda huu Kwa mnaohitaji...
9 Reactions
138 Replies
2K Views
Huko watakaoenda kufanya kazi maswala ya mipunga yamekaaje maana shortlist kwa ajili ya interview washatoa. Kwa ambao mna ufahamu ama uelewa wa MDA na LGA tuwekane sawa.
10 Reactions
90 Replies
45K Views
Wadau natafuta msimamizi wa kituo cha kupiga simu kwa wateja. Kazi zake ni kama zifuatazo 1. Kusimamia timu ya upigaji simu ili kuhakikisha kazi inafanyika kwa ufanisi 2. Kuongoza timu ya upigaji...
5 Reactions
19 Replies
1K Views
Habari zenu watanzania wenzangu. Nimemaliza Chuo Kikuu katika kozi ya mawasiliano kwa umma hivyo natafuta kazi ya uandishi na utangazaji wa habari. Pia Hata kwa kazi ya kujishikiza huku...
0 Reactions
1 Replies
520 Views
Habari wanajukwaa? Nina Bachelor of science in physics (Sio ualimu). Kutokana na ugumu wa ajira na ugumu wa maisha kiujumla, nimekuja mbele zenu kutafuta kazi. Ninauzoefu wa kufundisha kwa miaka...
2 Reactions
16 Replies
879 Views
Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) limetangaza nafasi za kujiunga na Jeshi kwa Vijana ambao wametumikia au wamefanya mafunzo ya kujitolea katika Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) kwa miaka...
14 Reactions
685 Replies
89K Views
Kama kijana ambaye bado najitafuta ili kujiboresha na kufikia malengo yangu, naomba kutumia jukwaa hili kutafuta mtu ambaye anaweza kunishika mkono au kuwa daraja kwangu la kunivusha kutoka hapa...
5 Reactions
6 Replies
289 Views
Iko hivi kwenye vyeti vyangu vya shule nina majina mawili tu hakuna jina la ukoo lakini kwenye nida kuna majina matatu pamoja na jina la ukoo. Ni miaka minne sasa kila nikiomba kazi serikalini...
2 Reactions
7 Replies
1K Views
Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma imetangaza nafasi za kazi jumla ya elfu sita, mia mbili na hamsini na saba (6,257) katika Wizara, Idara, Wakala za Serikali, Mikoa na...
5 Reactions
27 Replies
3K Views
Habari kwa wenye uzoefu na hizi oral interview za utumishi ni vitu gani vya msingi kuzingatia?
0 Reactions
0 Replies
550 Views
Fahamu mambo ya kuzingatia wakati unapoitwa kwa ajili ya Interview: 1. Fanya Utafiti kuhusu Kampuni iliyokuita kwa kufahamu Huduma na Maono yake ili majibu yako yalingane na malengo ya Kampuni...
4 Reactions
16 Replies
7K Views
Unapokwenda kwenye Usaili wa Kazi, Mwonekano wako wa mwanzoni tu, unaweza kuwa na athari kubwa wakati wa mahojiano. Na hiyo ni kwasababu tafiti mbalimbali zinaonesha baadhi ya Waajiri hufanya...
3 Reactions
6 Replies
845 Views
Hiki ni kitu ambacho kinaniumiza kichwa kufahamu kwakuwa hakuna taarifa maalumu ya kwamba Tamisemi hawatahusika na hizi ajira za Ualimu Hili linatia mashaka baada ya siku za nyuma kutangazwa...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Wakubwa tupeane elimu kidogo nataka kujua jinsi ya kudelete cheti nilicho pachika Ajira Portal. Nimeweka cheti ambacho hakiko certified. Sasa nikitaka kukitoa hakuna option ya dellete kuna...
0 Reactions
4 Replies
850 Views
Back
Top Bottom