Serikali ya CCM chini raisi Samia Suluhu Hassan. Naomba sisi vijana tulio soma iwe kuanzia form four(aliyefaulu) or Veta(NVC 3) na kuendelea kwenye hiyo miradi na huku mitaani na mtuwekee...
Wakuu nataka kupata uzoefu kuhusu kazi za United Nations Volunteers.
Mimi nina uhakika nina sifa zote zinazohitajika kupata nafasi ya kufanya na UNV.
Nimejiandikisha kwenye mtandao wao wa...
Habari zenu Wakuu,
Mwaka huu nimeona niongeze skills kidogo hivyo nataka kujifunza kupiga kinanda. Mimi ni beat maker ila bado sijaiva kwenye kupiga kinanda vizuri. Nataka niive ili nianze...
Tarehe 14 mwez huu ndo ile siku ya kuvuna tulichopanda. Siku zimebaki chache usiache fursa hii ikupite ni rahisi sana huhitaji pesa wala hakuna atakaekuomba pesa
Mahitaji Telegram
Muda wako Dk 2...
Natafuta mtaalam wa masuala ya mazingira ambae anaweza kuandika vizuri miradi na kufanya EIA, EA AUDIT vizuri. Kama upo Vizuri kwenye Masuala hayo njoo tufanye kazi.
Asante
WhatsApp +258 87 299...
Awali ya yote ningependa kuipongeza Secretariat ya ajira kwa hatua nzuri waliofikia ya kufanya interview online, ni kweli mfumo itakiwa na manufaa sana kwa kupunguza gharama za uendeshaji usaili...
Nina ofisi Dodoma Mtumba mji wa serikali ambapo nafanya photoshoot, video shooting, na printing zote yani naprint Tisheti, jezi, kofia, vicombe, vitabu, calendar, business card, pia natengeza...
Assalam Allaykum,
Mpka sasa sijala na sjajua siku inaisha vipi, sina pesa wala mpango wa kupata hata buku kwa siku ya leo ukizingatia nimedamka asubuhi kutafuta vibarua viwandani na kwingineko...
Job title:Technical Officer, Biomedical Services
Type: FULL TIME
Industry: Nonprofit, and NGO
Category: Healthcare
NGO:FHI 360
Deadline:August 09 2024
Work Station: Tanzania , Dar...
Habari zenu,
Mimi ni kijana mwenye elimu ya Stashahada ya Uhasibu.
Ninatafuta nafasi ya kazi ya kujitolea au kuajiriwa ofisi yoyote ndani ya Tanzania.
Namba yangu: 0759285908
MAJINA HAPAO
Tanzania Police Force
Tanzania Police Force
Tanzania Police Force
Kwa mawasiliano zaidi piga simu: 0713 240480, 0783 392277, 0767 571499, 0713 571499, 0789 204377.
update...
Mimi ni kijana wa kitanzania mwenye kipaji cha uchoraji picha halisi ya kitu au mtu yeyote aina ya MONOKROMU ukubwa kuanzia A0,A1,A2,A3,A4 na A5.
Ni ombi langu kupokea kazi kubwa na ndogo za...
Nime upload kila kitu sawa na nimefikisha 100% ila kwenye ku apply wananiambia niangalie vigezo hasa bachelor inayohitajika na nikiangalia niko sahihi ila bado haikubali ku apply
Habari Wakuu.
Kuna mchongo hapa nawalete. Nahitaji mtu Anayeweza kutumia Linkedin na Indeed a apply Virtual Jobs nchini Canada au USA.
Tukikubaliana nitakutumia CV, wewe kazi yako ni Ku draft...
Hivi Kuna uwezekano, mtu alie soma shahada ya ualimu, akaomba nafasi ya afisa mtendaji na akapata kazi hiyo kupitia ajira portal au mfumo wowote wa serikali?
Baada ya kuhangaika kwakipindi kirefu hatimae Sasa nimeitwa kwenye usaili DODOMA. Licha ya furaha hiyo Kuna Mambo naombeni msaada wanabodi.
1: Utofauti mdogo wa Majina Kati ya NIDA na vyeti...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.