Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!
Habari WanaJF mimi ni kijana wa kiume (25) shupavu mwadirifu na nimwaminifu .Sina ELIMU sanaa Nina certificate ya 4m4 tu, nipo hapa kwa ajili ya kuomba kazi ndugu zanguni, nikipata kazi yoyote...
0 Reactions
5 Replies
343 Views
Wakuu habari za Asubuhi. TANAPA wametoa majina ya interview na tarehe husika mdogo wangu ameoangiwa kuifanya hifadhi ya mto wa mbu karatu Arusha kwa post ya udereva please mwenye ujuzi wowote wa...
1 Reactions
6 Replies
898 Views
Kwa hizi nchi zinazopigana vita nyakati hizi; Ukraine, Urusi, Israel, Palestina, Lebanon n.k Nyakati hizi, kuna wanaoenda kuomba kazi za jeshi kweli? Je wakileta maombi kwa vijana wa kutoka...
0 Reactions
0 Replies
160 Views
Sifa za waombaji, 1. Awe msichana kuanzia miaka 18 hadi 30. 2. Awe ana ujuzi wa massage na urembo (beauty therapy) 3. Awe mkazi wa dar es salaam, ikiwa anaishi ilala atapewa kipaumbele. 4. Awe...
3 Reactions
27 Replies
3K Views
Wakuu ni mambo gani tunapaswa kuzingatia kabla ya kwenda kwenye usaili wa Jeshi la POLISI Tanzania.Tusaidiane.Ya chini chini niliyoyaskia ni haya: 1. Usiwe na HIV/AIDS. 2. Usiwe na makovu. 3...
4 Reactions
20 Replies
3K Views
Hi, guys habari za weekend I hope mpo good kwa wale wenye changamoto zozote zile poleni sana ndugu zangu coz siku hazifanani. Bila yakupoteza muda ndugu zangu Mimi ni kijana fukara ambae mara...
4 Reactions
3 Replies
440 Views
Habari za weekend wakuu. Swali langu ni kama heading isemavyo. Na Mimi natamani nipate ajira niachane na huu ujobless, maisha magumu umri unaenda, wachumba hawanitaki kisa dough. mfano wa...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Habari za Jumapili ndugu zangu wanajamii na wenzangu, Ninaomba kufahamu taratibu za kuomba uhamisho (transfer) kutoka Taasisi X kwenda Taasisi Y kupitia mfumo wa Utumishi (e-Utumishi). Je, kuna...
5 Reactions
42 Replies
12K Views
Anatafutwa kijana mwenye umri kuanzia miaka 18-30 kwenye cafeteria Awe anajua kupika vyakula vile vya kipemba pemba Kachori, katles, sambusa, bagia keki na bites, juis za matunda na nyengine atume...
3 Reactions
9 Replies
864 Views
Anatafuta kaz za ndani ...mshahara kuanzia 60 ...
3 Reactions
62 Replies
2K Views
Habari wakuu samahani, Kama kuna yeyote ambaye amewahi pitia usaili wa online na akafauru vizuri mpaka kufika oral nilikuwa naomba atupe mbinu na alitumia web site gani kujiandaa na usaili. Asante.
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Hello Kuna mtoto wa Shangazi yangu amepata changamoto ya application za ualimu, Ametuma maombi Kwa somo la history, vyeti aligonga muhuri Kwa mwanasheria, passport aliweka, na barua ya maombi...
4 Reactions
17 Replies
770 Views
wadau interview ya ajira za jeshi la polisi mkoa wa singida zitafanyika sehema gani? Hadi sasa hakuna taarifa rasmi kwa anayefahamu atusaidie
3 Reactions
14 Replies
1K Views
Habari, Sina mengi ila naomba msaada wa referrals (marefa) wanaohitajika kwenye mchakato wa kuomba ajira mpya za serikal. Kiufupi inaweza kufikirisha kwa baadhi ya watu humu ila kwangu nina maana...
1 Reactions
11 Replies
452 Views
Wana jamiiforums kwema Kama kicha juu hapo kinavyojieleza mm ni kijana wa miaka 25 mkazi wa dar es salaam mbagara elimu kidato Cha nne Nimekujua kwenu waja JamiiForums kuomba kwa yoyote ambaye...
7 Reactions
15 Replies
978 Views
Habari za wakati huu........ mimi ni kijana wa miaka 23 nimemaliz bsc chemistry hivyo naombeni mwenye connection na internship anisaidie au kazi yoyote . Asanten
1 Reactions
3 Replies
359 Views
Nipo mkoa wa Mara wilaya ya Tarime Nina miaka 22 elimu yangu form4 natafuta kazi yeyote namba zangu za sm 0759210686
1 Reactions
1 Replies
254 Views
Ewe unayeomba ajira za ualimu hakikisha umefuata maelekezo na masharti kama yalivyoelekezwa na utumishi. Barua yako ya maombi utie saini kwa mkono wako, jidanganye utumie adobe signature unaliwa...
2 Reactions
17 Replies
1K Views
Back
Top Bottom