Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!
Nina Mdogo wangu anataka nimfanyie application ila anashindwa kutambua achague mkoa gani Aishi Kati ya hii 1 Kagera 2 Katavi 3 Kigoma 4 Lindi 5 Manyara 6 Mara 7 Mbeya 8 Morogoro 9...
0 Reactions
11 Replies
529 Views
Kwa wale job seeker walio soma diploma zinazoendana na utawala kuna mtiririko wa kazi zinatangazwa ajiraportal (https://portal.ajira.go.tz/user/auth/login) nendeni mka compete mpate sehem za...
4 Reactions
0 Replies
380 Views
Wapwaa anaefahamu makampuni ys usafirishaji yanayotoa internship na bachelor degree in shipping and logistics management na diploma in logistics and transport management for further information...
2 Reactions
3 Replies
366 Views
Kwema ndugu zangu, mwenye connection ya kazi yeyote hata ya mda mfupi naomba anisaidie! Elimu, Diploma (education) Makazi, Dar es Salaam Tel no, 0748786954 Shukran!
0 Reactions
2 Replies
285 Views
Je inawezekana ukaomba mfano singida lakini ukapangiwa mkoa mwingine tofauti na uliyoomba kwenye hizi ajira na je ni bora kuomba kwenye mikoa ambayo Haina ushindani Yani watu hawaipendi?
2 Reactions
3 Replies
484 Views
Kumb.Na.JA.9/259/01/B/ 11 Katibu wa Sekretarieti ya Ajira Katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya Sekretarieti za Mikoa na Mamlaka ya Serikali za Mitaa inakaribisha maombi ya kazi kutoka kwa...
7 Reactions
36 Replies
4K Views
Kwanini watu wenye Certificate na Diploma wanapata ajira sana kuliko wenye Degree Daaah!! Kwahiyo tunahukumiwa na elimu yetu kisa kusoma kwa bidii jamani
12 Reactions
18 Replies
847 Views
Naomba kuuliza kwa aliyeomba au aliyeajiriwa mahakamani...barua ya kuombea kazi na cv ni bora ziwe katika lugha ya kiswahili au kiingereza
1 Reactions
14 Replies
899 Views
Wapendwa, Nina umri wa miaka 26, nimemaliza Diploma ya Procurement & Logistics Management 2014 katika Chuo cha Uhasibu (TIA) natafuta kazi zinazo-relate na fani yangu. Sent from my Lenovo A5600...
4 Reactions
48 Replies
18K Views
Habari wakuu napenda ulizia ni sekta ipi inayofaa kwa graduate level diploma akiwa na cheti hiko hapo juu,, kwa kazi kuajiriwa ukiachana na fisheries.....au viwanda vipi vinafaa ,,, Yupo Dar es...
0 Reactions
0 Replies
231 Views
Hello members, Habari hizi ni kwa mujibu wa Hill kuku, wametangaza nafasi za kazi. Madereza wa delivery wa pikipiki na madereva wa Hill defender. Kama unahitaji ajira hizi fika ofisini kwao...
5 Reactions
8 Replies
779 Views
Majobless mpo!? Naona Kila siku mnalia tamisemi zitatangazwa lini ajira , maana vijana wanasubiri ajira Hadi wanapata stress wengine ni walevi na yawezekana hata wengine wataingia kwenye dimbwi la...
4 Reactions
9 Replies
499 Views
Mimi nina kipaji cha kuandika story na kuigiza ila sina udhamini, ni wapi naweza kupata msaada wa kushikwa mkono nikafanya kazi ya uigizaji?
0 Reactions
6 Replies
404 Views
Mfumo wa Ajira Nchini kwetu umeshindikana kabisa hasa kwa tusio na Koneksheni kabisaa! Mfano: nimewahi kuitwa kwenye interview nyingi tu za serikalini ila zote zinafanywa kwa ushahidi tu ili wale...
18 Reactions
52 Replies
4K Views
Ndugu zangu natafuta kazi yeyote ya halali mim ni me(24) elimu yangu 4m4 ninaujuzi wa computer napatikana dar mawasiliano yangu 0783090144
1 Reactions
4 Replies
503 Views
CWT ni chama cha walimu kama kinavyojipambanua na kujitangaza siku zote za uwepo wake. Zaidi kinatangazika kwa sifa ya kutetea maslahi ya Mwalimu, haki na kumpigania mwalimu ili apate mazingira...
1 Reactions
2 Replies
564 Views
Wakuu, natumai wazima. Nimekuja kwenu kwa niaba ya mjomba wangu. Mjomba wangu anahitaji kazi, nafasi ya welding. Ana uzoefu wa kufanya kazi kawaida na viwandani zaidi ya miaka minne. Ni kijana...
1 Reactions
6 Replies
874 Views
Naomba maelezo kutoka kwa Maafisa utumishi wa taasisi mbalimbali za Umma/Serikali. Ni haki yake Mtumishi wa umma kulipwa fedha ya Nauli wakati anapothibitishwa kazini kulingana na...
3 Reactions
13 Replies
650 Views
Wajuvi wa mambo salaam, nimezaliwa 90s mpaka Sasa sioni dalili za kuwa usalama wa taifa kazi ambayo naipenda sana kutoka moyoni licha ya maslahi ambayo wengi wanakimbilia. Yaani Mimi hata...
3 Reactions
50 Replies
7K Views
Back
Top Bottom