Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!
Habari zenu, Msaada kwa mtu yeyote anaejua NGO's yoyote ambayo naweza nikajitolea hata bure niwe nafanya kama part time muda ambao nakuwa nipo tu sina cha kufanya ni bora kujitolea katika jamii...
2 Reactions
1 Replies
250 Views
POSITION: Administration and Procurement Officer REPORTS TO: Head of Finance and Operations LOCATION: Iringa JOB SUMMARY The Administration and Procurement Officer is responsible for timely...
1 Reactions
2 Replies
326 Views
Vacancy #: 6885 Unit: TRAFFIC International Organisation: TRAFFIC International (TRAFFIC) Location: TRAFFIC – East Africa, Arusha, United Republic of Tanzania Reporting to: Partnership and Legal...
0 Reactions
1 Replies
239 Views
POSITION: Grants and Finance Coordinator REPORTS TO: Award and Sub-award Manager LOCATION: Iringa JOB SUMMARY The role of Grant and Finance Coordinator will be responsible for the day-to-day...
1 Reactions
2 Replies
220 Views
HELVETAS Swiss Intercooperation Tanzania (Helvetas) is an international NGO registered in Tanzania. Helvetas Tanzania looks for an enthusiastic colleague for the following post: Position –...
0 Reactions
1 Replies
340 Views
Habari, natafuta kazi nimesoma IT, Iwe mikoa yoyote kasoro Dar es Salaam
1 Reactions
5 Replies
432 Views
Mimi nimeomba ajira lkn nashangaa nimeappy somo moja mkoa mmoja.. Zote zinanionesha nishaapply wakati nimeomba moja tu Physics inaniambia nimesha apply wakt nimeomba sehem moja..hata somo la...
1 Reactions
5 Replies
281 Views
Naomba kuuliza kuhusu ajira hizi mpya za utumishi ziliotangazwa tar 7/7/2024 Je, kitakuwa na interview? Na kama ipo je waimbaji wataenda dodoma wote au Kwa mikoa na Kama ni kimkoa kumbe selikari...
6 Reactions
19 Replies
1K Views
Inasikitisha kwa taasisi Kama vyuo Vikuu kuajiri kwa vigezo vya ukabila na kujuana. Mchezo unaanza kwa ku-shortlist mtu mmoja kwenye nafasi moja halafu eti unamuita kufanya interview?
3 Reactions
19 Replies
2K Views
Let's say unafanya kazi kwenye taasisi/shirika la Umma na unaweza kumaliza miezi sita(6) hata mwaka hujapata seminar wa safari yoyote za kikazi. Na hata seminars na safari za maokoto zikitoka...
5 Reactions
13 Replies
586 Views
Habar za leo wakuu kama kichwa kinavojieleza juu tafadhali naombeni msaada wa kazi yoyote halali kama ni kuuza kwenye duka,au kazi yoyote halali niko tayari kufanya kazi kwa uaminifu,juhudi na...
5 Reactions
8 Replies
396 Views
Wanajukwaa salaam! Kilicho nisukuma kuandika uzi huu ni baada ya kushuhudia vijana wengi wakikata tamaa na kujutia maamuzi yao ya kujiendeleza kielimu kwa kukosa haki za kuajiriwa serikalini...
3 Reactions
15 Replies
976 Views
Anonymous (ae6f)
Serikali tunaomba itusaidie MUHAS! Sisi wanafunzi wa shahada ya kwanza ya sayansi ya tiba kwa njia ya vitendo hapa MUHAS tunaomba serikali au wizara husika iajiri wakufunzi wa kutufundisha maana...
0 Reactions
0 Replies
113 Views
Kwa kweli niseme tu asante, nishukuru kwa kila jambo kama Biblia ilivyotuamuru. Nilihitimu Elimu yangu ya ngazi ya juu mwaka 2015 Katika Shahada ya Logistics and Transport Management, mpaka leo...
9 Reactions
45 Replies
1K Views
Jina: Rich Mashauri Mahali: Dar es salaam Elimu: Muhitimu Bachelor of accounting with information technology (BAIT) chuo cha IFM Miaka: 23 Gender: Male Ujuzi: IT skills, accounting ethics na ujuzi...
2 Reactions
0 Replies
247 Views
Dear colleagues, We trust that all is well. Ifakara Health Institute is seeking a qualified Laboratory Technologist to join the Lab Unit in Ifakara. The individual will work under the directive...
0 Reactions
1 Replies
222 Views
Ok straight to the point. Hivi viwanda vya nondo katika mikoa ya Mwanza na Dar wanalipa kiasi gani kwa siku?. Kwasasa nipo Nzega Tabora, Sehemu ya kufikia kwenye hayo majiji ninayo. NB...
3 Reactions
12 Replies
806 Views
Kama wewe ni Accountant, na una uzoefu wa kutosha basi wahi ofisi za idara ya kazi Mwanza, ingia TAESA kuna hizo kazi nafasi 5 tu mwajiri mmojawapo niliemwona ni mgodi wa NORTH MARA Salary Range...
7 Reactions
7 Replies
918 Views
Ndugu zangu ninaomba msaada au connection ya kazi yoyote halali, Mimi ni me(29) elimu yangu Kidato Cha sita ninapatikana Dar es salaam ninaujuzi wa computer, Uhasibu, stocktaking, warehouse...
0 Reactions
0 Replies
271 Views
Kwakuwa tupo katika nyakati ambazo ajira ni ngumu Kwa watu wa hali ya chini kama sisi hivyo sina budi kufurahia hiyo siku ambayo nitapata ajira serikalini Kukosa connection na watu wakitupambania...
10 Reactions
18 Replies
562 Views
Back
Top Bottom