Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!
Wakuu ni NGO's zipi hapa nchini zinaongoza kwa kulipa mishahara minono zaidi,marupurupu na posho kubwa zaidi kwa Tanzania?
3 Reactions
16 Replies
2K Views
Napenda kufahamu mtu anayeanza kazi TPDC kama techncian anakuwa analipwa Basic salary kias gani
5 Reactions
44 Replies
8K Views
Tigo Tanzania is the leading innovative telecommunication company in the country, distinguished as a fully-fledged digital lifestyle brand. Projects Manager Products Quality Assurance Officer...
1 Reactions
4 Replies
446 Views
Wnjamvi Serikali inaenda kuajiri Walimu hivi punde kutokana na mchakato wa kuomba kukamilika. Naishauri Serikali isiwapost bure tu bila kuwapima walimu hawa. Walimu wengi hasa wa Sekondari hawana...
13 Reactions
148 Replies
15K Views
Wakuu. Jana Tar 05 July wametangaza hizo nafasi. Waliosoma Diploma ya izo kozi mapambano yaendelee.
1 Reactions
0 Replies
217 Views
Anaandika, Robért Heriel Mtibeli Elimu ñdio ilikuwa ukombozi wakutegemewa na Wanawake waliowèngi na vijana kutoka familia maskini. Wanawake wengi hasa wale waliokuwa wanafanya vizuri shuleni...
4 Reactions
14 Replies
372 Views
Habarini wanajukwaa nipo mbele yenu natufuta kazi yeyote ambayo itaniingizia kipato au kama kuna mtu mwenye connection akaniunga kazi zilipo naomba anisaidie. Nina diploma ya procurement and...
6 Reactions
23 Replies
766 Views
Toka mwaka jana Serikali iliahidi kutoa ajira kadhaa kwenye sekta ya afya na elimu, kati ya mwezi wa kwanza au wa pili na haijawa, katika bunge la bajeti waziri akaahidi kabla ya June 31 ajira...
2 Reactions
14 Replies
794 Views
The United States Government, represented by the U.S. Agency for International Development (USAID), is seeking offers/applications from qualified persons to provide personal services under...
2 Reactions
2 Replies
319 Views
Habari za Asubui wana JF, Naomba kuleta mada kwenu kuhusu haya mashirika ya kigeni yanayojiita ya kusaidia binadamu (humanitarian) au kujiita mashirika ya kimataifa yasiokuwa ya kiserikali...
10 Reactions
34 Replies
3K Views
Wakubwa nilikuwa naomba kwa anaejuwa kati ya data science na fullstack web develpmnt. Ni ipi inasoko sana kwa tanzania na hata nje pia?
0 Reactions
6 Replies
385 Views
Sharing is Caring! Kama una sifa zote za kutoa elimu ya awali tuwasiliane nikupe connection katika shirika flan! Nafasi ni mbili! Asanteni!
2 Reactions
0 Replies
295 Views
Maombi yote yatumwe kwenye official e mail ya kampuni yetu kama inavyo onekana kwenye attachment. All the best.
2 Reactions
2 Replies
226 Views
Binafsi nimeshawahi kufanya kazi kwa Muhindi kama Bosi wangu. Kipindi naanza kazi nilikutana na ahadi kibao na mambo mazuri mazuri tuliahidiwa kama kazi ikiwa nzuri marupurupu yataongezeka...
25 Reactions
414 Replies
53K Views
Habari wanahitajika Madreva 5 Kwa ajili ya Mkataba wa mradi wa ujenzi. Madereva wanaohtajika ni walw wenye Class C. Madreva wenye Class E&G Kwa mawasiliano piga 0769488409 au tuma taarfa zako...
3 Reactions
9 Replies
639 Views
Urgent call: Wanahitajika walimu wawili mmoja wa somo la KEMIA NA BAIOLOJIA na mwingine HISTORIA NA JOGRAFIA. NGAZI YA ELIMU: Awe na shahada ya Ualimu. VIGEZO: Mwalimu mahili na mbobevu kwenye...
4 Reactions
2 Replies
543 Views
Wakuu kwema! Jamani nina mdogo wangu anataka kusoma ngazi ya cheti, sasa naomba mwenye kujua kwa mkoa wa arusha chuo gani pale anaweza akapata nafasi kulingana na ufaulu wake kama nilivyosema hapo...
1 Reactions
6 Replies
292 Views
Jamani tangazeni basi ajira ili watakaobarikiwa kupata wapate kama Kuna watu wasemaji humu mtusaidie kupaza sauti
2 Reactions
8 Replies
307 Views
Habari wakuu, Mimi ni fundi rangi za nyumba, nina uzoefu wa miaka zaidi ya 10 katika kazi hii. Ninauwezo wa kufanya kazi hii kwa ustadi mkubwa. Napenda kuchukua nafasi hii kuwaomba kazi ama...
0 Reactions
1 Replies
241 Views
Mwaka mpya wa kiserikali umeshaanza, nadhani hapo nyuma tulishapokea shadi mbalimbali kutokana na suala la ajira hususani hizi za ualimu na afya lakini naona bado ubao umenuna Mbona hili suala la...
2 Reactions
11 Replies
599 Views
Back
Top Bottom