Anahitajika kijana wa kazi awe wa kiume au wa kike wa kuuza duka la nguo kariakoo mtaa wa Kongo na Aggrey.
Sifa awe na elimu kuanzia 4m4
Mdhamini awe nae
Kwa anaehitaji nicheki inbox
Wakuu mimi wa muda mrefu huku JF nilikuwaga na account yangu nikaipoteza.
Ombi langu kwenu ni naomba mwenye kibarua chochote anisaidie, nipo mkoa wa Arusha. Nina diploma ya accounting yenye G.P.A...
Jamani wana JF mimi naitwa Brighton natafuta kazi ya kuwa msaidizi wa dereva (tingo) kwenye magari makubwa ya mizigo au mafuta. Kwakweli ni kazi ambayo naipenda ila sijui nitaipataje maana...
Nataka kujua hili kwani mwezi huu wa 6 mwanzoni mlitangaza nafasi za kazi ikiwemo nafasi ya msimamizi wa maudhui (Content manager), Mimi nilijaribu kuomba hii nafasi lakini sikupata mrejesho...
Mimi NI mwalimu idara ya elimu Sekondari kwa zaidi ya miaka 12, Nilijiendeleza na kuhitimu kwa ngazi ya PGDE. Kabla ya ngazi hii, nilijiendeleza na kuhitimu shahada ya Uongozi na Utawala.
Kabla...
Jamani napenda kuomba kufahamu mishahara ya askali magereza kuanzia ngazi ya chini kwa anaye fahamu naomba atujuze jamani kufahamu sio ujinga tujuzeni tuu ndugu zenu ili tufahamu please kwa anaye...
Hivi mmesikia chochote kuhusu hizi ajira zilizoahidiwa kutolewa mwaka huu, maana TAMISEMI naona wapo kimya
Taarifa za awali tulizisikia muda mrefu na tukaambiwa mpaka Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu...
Waungwana habari za majukumu.
Naitwa xx natokea maeneo ya Mikwambe, Kibada, Kigamboni mkoa wa Da es Salaam.
Naleta kwenu maombi kwa yeyote mwenye gari ndogo aina ya IST, SIENTA, n.k naitaji kwa...
Kwanini baada ya kupata ajira za mkataba kupitia utumishi wa umma, inakuwa ngumu sana kupata ajira za kudumu hata baada ya kufaulu katika usaili mara nyingi?
Je, kuna sababu za kipekee au mifumo...
Hello wana jukwaa.
Mwishoni mwa mwezi wa tano, kulikua na usaili wa kuandika Mottmac Dodoma, wakasema watatoa majibu ndani ya wiki mbili.
Wiki mbili naona zimeisha.
Kwa waliofanya usaili uo...
Nafasi ya kazi fundi mechanical na Fundi welding wanahitajika, sifa kubwa mbili mtu awenazo awe amesomea na awe na cheti na na pia awe na uzoefu wa kufanya kazi viwandani
Piga 0766320816 kwa...
Shida kubwa ni ajira kwa vijana wa sasa lakini kuna uwezekano wa kazi za masaa kama ilivyokuwa hospitalini kwamba kuna daktari ataingia usiku na mwingine asubuhi.
Makampuni hapa Tanzania ni mengi...
Habari wakuu Mimi Nina certificate ya laboratory technician pia Nina experience ya miaka 3 kuhusu laboratory technician, laboratory analysis, QC,QA pia blending oparetor au syrup oparetor pia...
Habari za leo, kuna rafiki yangu anahitaji dereva atakayekuwa analipwa kwa siku,au kwa week, maana ana mgeni wake ambaye anakuja week ijayo, hivyo anatakiwa awe anamuendesha, root ni za hapa hapa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.