Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Flutter ni moja ya Frameworks pendwa inayotumika kwa ajili ya kutengeneza cross platform applications. Kwa kutumia code base moja utaweza kutengeneza Apps kwa ajili ya Android, IOS, Mac OS...
4 Reactions
27 Replies
2K Views
Hii simu nimeiokota nitawezaje kutatua tatizo hili.
2 Reactions
12 Replies
637 Views
Kuna aina nyingi za sabufa zimeingia tz aina ipi ni bora na inadumu wakuu.
1 Reactions
75 Replies
56K Views
Is MacBook Pro retina inch 15.5, ssd 512, core i7, processor 3.1ghz, ram 16gb still better in 2023 environment. Ushauli wadau wa MacBook ya mwaka 2015. Kwa matumizi ya ofisi itafaa.
0 Reactions
11 Replies
970 Views
Je Maisha ya Battery ya simu yako (Android au Iphone) yanaonekana kupungua kadri unavyozidi kuitumia simu yako? Hata hivyo hayajatengenezwa kuishi milele ila kuna namna tukufanya tutaweza...
9 Reactions
9 Replies
3K Views
Habari wakuu, Naomben msaada wa ku_unlock modem ya Huawei E3372.
0 Reactions
3 Replies
975 Views
Habari JamiiForums, natumai sote tu wazima. Wengi kwenye stage moja au nyingine washaingiwa na wazo la kuanzisha channel yao binafsi ya Youtube either kama hobbie au namna moja wapo ya kuingiza...
6 Reactions
9 Replies
6K Views
Nime kua kwenye industry ya Tec toka mwaka 2010 nikianzia kwenye blogspot nikilipwa na Adsense, hadi sasa nafanya project full za Mobile na website, kwe frameworks za Flutter na Laravel(zipo...
11 Reactions
23 Replies
1K Views
Hello wakuu, Nilikua naomba kujua nikiwa na mtaji wa 20M mpaka 50M naweza kuanzisha tech startup?, pia idea gani naweza kuifanya kwa mtaji huo kwenye sector za usafiri (kama bolt au uber vile)...
9 Reactions
36 Replies
3K Views
India ndio nchi ya mwanzo kufanikiwa kutua kwenye ncha ya kusini ya mwezi ambako ndiko kwenye matumaini zaidi ya kuwepo kwa maji yatakayorahisisha kupiga kambi huko kwa ajili ya tafiti zaidi...
3 Reactions
15 Replies
2K Views
Nikitaka kuagiza mizigo mbalimbali katika nchi ya dubai,uturuki na india nitapataje connection au je wana app wanatumia kama china wanavyofanya alibaba na aliexpress
0 Reactions
0 Replies
823 Views
Ninaomba anayejua jinsi ya kufix tatizo hili kwenye PC anisaidie. Nimejaribu kuupdate graphics. Nimeinstall window mpya lakini tatizo bado lipo. kuna muda huwa screen inakuwa sawa. Kuna muda...
1 Reactions
8 Replies
512 Views
Nahitaji laptop powerful iwe; 1. DELL au HP 2. 15 inch screen size and above 3. Numeric keyboard 4. 11th generation and above 5. Minimum Core i7 Wapi naweza pata?
0 Reactions
6 Replies
764 Views
Walengwa hasa ni wale wanaopata pesa za ghafla (zawadi, kuhongwa, betting, michezo, kuotea, boom la chuoni, n.k) na wale wanaojidunduliza. kununua simu ni hatua ya kwanza tu, bado kuna mambo...
3 Reactions
11 Replies
1K Views
Nina kifurushi cha Tigo kwenye simu. Pia hutumia hicho kwenye kompyuta. Ajabu siwezi kufungua internet kwa kifurushi cha tigo. Ila youtube na instagram zinafanya kazi vizuri kabisa. Nikitaka...
0 Reactions
4 Replies
878 Views
Natumai sote ni wazima,na ambao afya imeteteleka Mungu awape wepesi mpone. Kwa wataalamu na wenye uzoefu ,naombeni msaada wa kubadiri lugha kwenye laptop. Nina laptop ambayo ilikua inatumika...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Hello guys, Kama heading ilivyo. Naomba kufahamishwa similarities and differences za hizo machine mbili in case of performance, battery life and other factors. Thanks in advance Kindly regards
0 Reactions
2 Replies
390 Views
Mtandao : TIGO Bando / Kifurushi – Tigo Post-Paid 80 GB / Elf 60 Kila mwezi. (mawasiliano natumia mtandao mwengine kwasababu naitumia namba hio tangu 2006, naunga bando la elf 10 mitandao yote )...
5 Reactions
33 Replies
2K Views
Back
Top Bottom