Unaweza kuwa na lundo la videos ambazo huwezi kuja kuziangalia tena, huwa ni sawa na makorokoro,
Pc ama hata simu yako ni sawa na chumba, ni muhimu iwe na nafasi ya kupumua, toa makorokoro hayo...
Salam wakuu,
Poleni na mihangaiko ya kila siku. Naomba niende moja kwa moja kwenye mada. Naomba kujua speaker nzuri inayotoa mziki mzuri ambayo itafaa katika matumizi ya pub au lounge. Naomba...
Kuna rafiki yangu anasema account yake ya facebook wameibadili password na email aliyotumia kufungulia...ila anasema wahuni walianza kuingia na kupost vitu vya ajabu hapo awali kabla...
DAWASCO ni kwa wtu wa Dar Es Salaam mikoa mingine inaweza kuwa na jina jingine....
Je unajua kama huduma ya maji ya DAWASCO ina weza kukuzalishia umeme Bila kuvunja sheria...?
Hii hasa itakua...
Unatumia Winrar ? kama jibu ni ndio nikujuze kwamba kuna tundu kwenye matoleo ya zamani limejizolea umaarufu kusambaza virusi,
Virusi hivi vimekuwa vikiambatanishwa kwenye mafaili tunayoodowload...
Oraimo ni brand ya mchina lakini mchina anayejielewa.
Bidhaa zake huwa ni imara sana, kuanzia Charger, USB Cables, Ear Pods, Power Banks nk
Kwasisi watu wa kipato cha kati hizi bidhaa zake...
Nataka kununua generator la 3.5 kva kwa ajili ya kuendeshea stationary, tanesco wamegeuka mwiba huku kijijini.
Ni brand gani yenye generator bora zinazotumia petrol, naomba kupata vidokezo juu ya...
Habari wana jamvi,
Nina simu aina ya oppo 57 imetoa changamoto haimalizi kuwaka yaani inafika eneo la logo, nikamuulizia jamaa yangu ambaye kidogo hivi vitu anavifahamu yupo eneo tofauti na...
Habari wakuu,
Nataka kuweka Azam Max mobdro na apps nyingine zenye akili cha ajabu.
Naambiwa google play kwenye hii device haiwezi kudownload kama kuna njia nyingine.
Naombeni msaada.
Mambo yanazidi kushika Moto [emoji87] Duniani
[emoji189]Serikali ya nchi ya china imezuia watumishi wa serikalini (wafanyakazi) kutumia simu za iphones makazini.
Kupitia ripoti iliyotolewa na...
Samahani wale ma IT na computer science mlioko huku
Nataka kutengeneza Sexy Voice Kwa kutumia audio, ndio na edit nini au kuna app gan natumia?!
Mume Yuko mbali so lazima nimpagawishe🏃🏃🏃🏃
Natafuta mtu anayeweza kutengenezea CRM ya kiswahili.
Iwe web based na app.
Iwe nyepesi na inayoweza kuload haraka hata kwa internet isiyo strong.
Hosting na kila kitu inakuwa kwenye servers zetu...
wadau nina zaidi ya vishikwambi 3 maarufu vya sensa (pritom tablet) zina shida ya kuandika emergency na kupoteza network kabisa.
Mtaalamu anijuze namna ya kutatu hilo tatizo tafadhali.
Wakuu niende kwenye hoja.
Watu wengi wanatuma picha na makablasha mbalimbali Kwenye status page ya Whatsapp. Pia pale Facebook kuna Ile sehem ya stori.
Kule kuna Instagram na maticktok binafsi...
Nimeamka asubuhi nataka kuingia WhatsApp wananiambia your WhatsApp number is banned from using watsap.
Naombeni msaada namna yakuifungua saizi maana ninafanya upatu namm ndoninaechezesha MCHEZO...
Baada ya kusikia Apple Event Rasmi Tukio lao ni Septemba mwaka huu 2023 kukiwa na matarajio ya kuona simu,tablet na vifaa vingine vipya toka apple iphone 15, iphone 15 zinatarajiwa kuachiwa na...
Wakuu naomba mawazo yenu kuhusu used flagship za sony kama xz1, xz3 nk. Nyingi wanasema ni used from dubai na bei ni chee mno mfano xz1 ni 140,000/= sasa kwenye matumizi nitegemee nini? Ubora wake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.