Nifanya nini ili niwe naweza "Kucopy into" au "Kuedit" content za "/var/www" Folder Kwenye Ubuntu 14.04 ?
You need to change user permission to that location and/or own the location using chmod...
Wadau natumia window 8 pamoja na linux, tatizo la laptop yangu nikiunganisha na waya wa aux/ headphone sauti haitoki nje inasikaka kwenye spika za pc tu.
nimejaribu external kupitia usb lakini...
I was thinking, Tanzania delivery ya products from one point to another ni kazi sana hata within the same city, na due to this hata online buying and selling Tanzania hakuna which is why hata...
Here, I'm sharing a list of some useful commands for windows command prompt. Few commands may work only on windows XP not on Windows 7/Vista.
Nama ya kutumia CMD Kwenye Windows XP tu ndio...
Bundle ya Spidi bila kikomo ya wiki imetoka 10GB ikaenda 8GB na sasa nilikiwa nataka kununua nikakuka ni 2GB tu!!! Kwa wiki nzima yaani haileti hata maana 6000 for 2GB bora ununue zile za daily za...
Apple walitoa App ya Find my iPhone kama application ya kujitegemea 2010 na ilikuwa free app. Wakaendelea ku improve na ku-link na iCloud, ambapo 2013 iOS 7 ilipotoka ndio ikawa in-built feature...
Natumai mu wazima wa afya.
Tatizo lipo kwenye keyboard ya PC Nikibonyeza H ina type Y, na pia nikibonyeza Y ina type Y na namba zingine pia zina jam.
H =Y
Y=Y
1=Q
Tatizo lipo wap wakubwa ...
Baada ya kuinstall Ubuntu skin pack kwenye laptop yanguaina ya asus, iliyokuwa na OS ya windows 8,na kuruhusu computer I restart, sijaona tena icon za desktop na wala sijaweza kufanya kitu...
Jamani mwenyewe msaada NAOMBENI msaada wenu wa khali na Mali maana nimekwama kabisa laptop yangu imegoma kabisa kuwaka nikiweka password Ili ifunguke ndo Ujumbe huo naoupata please msaada wenu...
Apple wajisafisha kwa kuvunja rekodi za mauzo
Ikiwa ni wiki moja tu tangu Snowden kupitia Mwanasheria wake ailipue kampuni ya Apple kwa kuweka wazi kuwa Snowden hajawahi kutumia simu za...
Wakuu naomba msaada, wengine nauli zetu ndogo kutokana na ugumu wa maisha hivyo kwa wale wakuu wangu wenye nyota kubwa naombeni msaada jins ya kupata yale mambo yetu ya free ili nipate kudownload...
Wakuu shida yangu ni kujua tu jinsi gani ninaeza kutoa sim lock..hasa hizi simu za tigo..Kila siku naona ikifika wakat mtu inabid atoe lock ya network basi anapewa jibu aende k.koo au awaone watu...
Nina iPad 3 Wifi + Cellular kila nikiweka Viber inataka upper version of iOS na sitaki ku upgrade. Kuna mtu ana link ambayo naweza ku download .ipa fila ya Viber ?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.