Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
wakuu naombeni msaada maana simu yangu toka asubuhi inaandika App error 523 na inaji restart kila muda wakuu naombeni msaada wenu
0 Reactions
6 Replies
955 Views
I try to fix some links please . some contain VIRUS........
0 Reactions
11 Replies
826 Views
Jamani naulizeni namna ya kuondoa password ya document ya word. Niliweka password na nimeisahau ......mwenye kuweza jinsi ya kucrack anisaidie wanajamii forums
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Asalaam wadau wa science and Tech, Nina simu ya samsung galaxy II yenye Android ya Gingerbread 2.3.Na weza kuibadili kuwa Kit kat 4.4 ?
0 Reactions
3 Replies
733 Views
Wadau niko kwenye njia panda.. Computer yangu mpakato (Laptop) Ili crush recently na kulikuwa na important data kwenye Desktop. Nimeshindwa kabisa ku recover data hizo zilizoko kwenye Desktop...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Wakuu naombeni msaada simu yangu ni lenovo s960t ina internal memory ya 16GB, ram 2GB, na processor ni 1.9Mh octacore! Tatizo ni kwamba nikisoma kwenye storage kule kwenye settings inaonesha...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Natumia simu lain 2 sasa kwenye intanet nataka kutumia laini zote, ziwe zinasoma 3g. Niwe naseti wapi ili zisome zote 3g. Msaada kwasababu lain 2 inasoma E
0 Reactions
30 Replies
7K Views
Kadri technolojia inavyozidi kukua ndio binadam naye anavyozidi kupambana na Ugumu wa mazingira yanayomzunguka. Kuna hiki kifaa nnakifanyia Majaribio kabla sijaaanza kukiingiza Sokoni. Kinauwezo...
7 Reactions
35 Replies
6K Views
Habar wakuu wa teknolojia hivi inawezekana kuangalia Tv kwenye laptop mfano ITV LIVE?? If possible nifanyeje? Natanguliza shukrani.
1 Reactions
5 Replies
3K Views
Habari wakuu, kuna software yoyote ya ku unlock hizi devices?
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari JF natumia tecno H6 naomba msaada wa kufahamishwa line one inawekwa wapi.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari zenu wakuu, Natumia simu tajwa hapo juu lkn tatizo nililonalo ni kuwepo kwa GPS kila mda ukipiga simu hutokea na hata ukiwasha internet hutokea pia. Nimejaribu mara kwa mara kuzima GPS...
1 Reactions
14 Replies
3K Views
Habari zenu raia na wasio raia wa bongo napenda niwajuze hiki kitu kidogo tu cha beforward najua wengi wetu tumeona matangazo kibao katika mitandao ila mi naongeza tu kua tuchangamkie fursa wala...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wataalamu wa haya mambo naombeni settings za internet (sio wap) za voda kwenye Samsung Galaxy Grand Neo (GT-I9060). Kuna ambazo zimeingia automatically za wap lakini hazifanyi kazi vizuri. Yaani...
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Mwana JF. salaam sana, na baada ya salam je hujambo?. Naomba unielekeze namna ya kutengeneza template, mfano ambayo nikiingiza pesa ilaleta jumla, au ya kuingiza matokeo ya wanafunzi...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wadau niko kwenye njia panda.. Computer yangu mpakato (Laptop) Ili crush recently na kulikuwa na important data kwenye Desktop.Nimeshindwa kabisa ku recover data hizo zilizoko kwenye Desktop...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Wakuu habari. Naomba msaada wa maelezo kidogo juu ya uwezekano wa kuifanya website iwe na unlimited space, yani nataka niwe na post videos kwenye website yangu pamoja na picha sasa kuna mtaalam...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Habari wana JamiiForums. Nimekwama kidogo kuconfigure java development kit kwenye machine.Tiyari nimesha install na kupitia cmd imeniakikishia kwamba ipo. Tatizo ni kwamba nikitaka ku i run...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Msaada tafadhali waku, naona flash ina contents ila ukifungua ni tupu. Naombeni maelekezo ya kuyarudisha normal.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Jamani habari zenu watu wa Mungu, naombeni mwenye utaalamu wa simu aina ya Nokia Lumia, nimekuwa naipenda sana hiyo cm ila zipo za aina nyingi zinanichanganya, sasa basi, naombeni mwenye kuifahamu...
1 Reactions
33 Replies
7K Views
Back
Top Bottom