The Best Phones On the Market For Business Communication
As smart phones and tablets proliferate, the number of personal devices allowed to be connected to the corporate network is growing due...
Nataka kufahamu ni kwa nini
Led tv inakawia kuwaka? ukiswitch on inabaki kuwa standby kwa muda wa dk 5 kisha inawaka taa ya blue kwa seconds chache, kisha inarudi kuwa standby kwa muda mrefu...
Wakuu heshima mbele..
Wadau naoma msaada wa Internet settings kwenye simu ya Galaxy Note 3. Nimekuwa nikiitumia kwa muda mrefu lakini ghafla tu imegomea internet.
Halo wana JF mimi ni mwana JF mwenzenu sijawahi miliki wala kutumia dish na decoder ambazo ni free to air sasa nataka kuwa na dish hilo,please naomba ushauri wenu ni aina ipi itanifaa la kampuni...
Hi GT, nimekwama ktk kununua dekoda sahihi kwani zimekua nyingi na kila 1 ina disadvantage yake. Shida yangu nimekutana na mafundi/busines men wanauza receiver /dekoda aina ya wiz- tech wanadai...
Heshima kwenu JF!
Msaada kwa anayejua namna ya kurudisha camera kwenye smartphone ilifutika sijui ilikuwaje nilishangaa haipo.
Nimejaribu play store nakutana camera 360 ambayo haichukui...
Nina simu NOKIA LUMIA 630, inanipa shida sana nikitaka kuhamisha picha au document yoyote toka simu kwenda PC au PC kwenda phone. Naomba kunisaidia niweze kutumia hii simu vizuri, pia network yake...
Nina 1TB external HDD ya Toshiba baada ya wiki moja kuinunua MBR ikawa damaged na software nyingi za ku Rebuild zinauzwa online, pia nimejaribu kwa kutumia command line imekuwa ngumu.
Kuna mtu...
Heshima kwa wakuu wote.
Nahitaji msaada kwa anaejua vigezo na masharti vya kuweza kuweka website au blog katika play store ya google kwa sababu nina blogu yangu ya matangazo ya biashara sasa...
nina computer aina ya samsung mini laptop hard drive iliyopo hapo imeshaharibika nimetaka kuweka nyengine ili nifanye installation lakini kila nikiwasha mashine inanihitaji niweke hdd user...
Habari zenu wakuu.
Kama wengi tunavofahamu, swala la accounting na book keeping ni muhimu katika biashara za aina zote.Shida inakuja pale unapotaka kutumia software ili ikurahisishie mambo...
Naomba anayejua fundi mzuri wa simu hapa dar anielekeze. Simu yangu imearibika spika kusikiklizana mpaka niweke loud. b'se bila hivyo siwez kusikia ..
Shukran.
Kuna ndugu yangu mmoja amenunua pikipiki aina ya skymark, ni pikipiki za kichina na inakuja na redio. ili kuweza kuplay miziki kwenye redio yao inabidi utumie full sd card, kurahisisha mambo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.