Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Wadau kwa yeyote mwenye ujuzi wa Ku boost torrent iwe na speed zaidi anisaidie.
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Natumia modem ya Huawei voda. Eneo nililopo kuna 3G lakini haina nguvu kama ya roaming network.
0 Reactions
1 Replies
912 Views
Habari humu ndani. Nina huawei ascend Y300 nilikuwa natumia laini ya tigo siku zote ila leo nimejaribu kuweka laini ya voda nikaiwasha ila ikaniomba niweke PIN NETWORK UNLOCK CODE sikuwa...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Nina simu yang Sumsung galaxy S3 nikiweka line network haipand ila inaonekana cm inasoma lin kuw ni tigo, tatzo ni network hukuchiz ya screen inaniandikia invalid IMEI-tigo Naomben msaada wenu.
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Wana jamii kama sio ndugu yangu amenipigia sm ningearibu tv yangu, mm nilijua tv yangu mbovu kumbe ni kingamuzi cha star time kinazingua vp maeneo yenu hilo tatizo lipo ?
1 Reactions
24 Replies
3K Views
wakuu mwenye kujua namna ya kupata download code ya application ya smspeeper anisaidie nawasilisha!!!!!!
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Big changes are coming to Mozilla, as Google will no longer be the global default search provider for the Firefox browser anymore. Instead, Yahoo will become the default U.S. search option in the...
0 Reactions
0 Replies
962 Views
Naomba kujua gharama za ufungaji wa WiFi na vifaa navyo hitaji kununua,pamoja na internet service provider yupi yoko poa katika hili.
0 Reactions
4 Replies
4K Views
natafuta Receiver kupata chaneli za canal+
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari za jioni. Mimi ni mwanafunzi wa kidato cha tatu mwaka huu nlifanikiwa kutengeneza software ambayo nlitumia html,css,javascript na php na inahusiana na masomo ambayo imebase zaidi kwa shule...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
King'amuzi changu ni cha star time ni lisaa sasa sioni chanel yoyote nini shida wakuu ni kwangu tu au ni tatizo la wao wenyewe?
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Naitajikuona ss1-9A kuna kifaa chochote cha kuweka niwezeonaKwa beinzuri ukiacha mamboyao ya 98.000
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Jaman mwenye msaada..nina htc yangu kwakwel sasa hivi wiki, inaniandika airplane mode turning off, na imefanya network imekata kabisa..nmejaribu kuzima kuwasha stil the same...mwenye msaada jaman...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Salamu wana JF. Mwenye kufahamu namna ya kuondoa hii browser ya kiarabu ambayo inasumbua sana tafadhal. Maana kila nikifungua browser inakuja by defaulty
0 Reactions
4 Replies
2K Views
nimeletewa iphones kutoka sweden, bt nimejaribu kuweka laini za tz zimekataa kusoma mtandao. tatizo ni nini, na nini ni tiba yake?
0 Reactions
2 Replies
846 Views
Hellow wadau ninahitaji kifaa cha kucharge ninachoweza kutumia kwa masaa hata matano saloon kwangu kama umeme ukiwa umekatika
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Naomba kutolewa ushamba kidogo juu ya 4G network ..ktk mambo hata:- (1)Namna ya kuipata je, inategemeana na aina ya simu na uwezo wake? (2)Je,ni maeneo gani ya Tz mtandao huu u aweza kupatikana...
0 Reactions
20 Replies
5K Views
Wana jf wenzangu,nimebahatika kupata li Tv langu sumsung led 40''2014 lenye clome kwa mbele sasa nalitafutia king'amuzi cha local walau chenye kiwango kdogo ili nilifaidi kwa raha mustarehe ili li...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Wakuu habari? Nina shida moja simu yangu nikijaribu kusign in kwenye fb inagoma kabisa, ila niki konect simu yangu na Wifi yaani network ya nje inakubali kusign in. Ila nikitumia MB za simu ndo...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Naombeni msaada. Nina motor ya 20HP ambayo nimeifunga katika kinu cha kusaga lakini motor hii imenisumbua sana. Kwanza nilikuwa natumia star delta starter lakini consumption ya umeme ikawa kubwa...
0 Reactions
10 Replies
4K Views
Back
Top Bottom