Wapendwa nataka kujua EPSON TOLEO LA NGAPU NDO NZURI KWA AJILI YA KAZI ZIFUATAZO:
Printing
Copy
Scanning
Kusafisha picha za simu
Kusafisha passport size
Kutoa copy ya rangi
Kwasasa sina...
Hello bosses and roses,
Miezi kadhaa iliopita nilisikia watu wanatishia kwamba kwa kuwa ChatGPT ina uwezo wa kugenerate 'codes' na kutengeneza algorithms basi sector ya programming nayo...
1. Kubadili table zilizopo kwenye hardcopy pamoja na zile ambazo zimeandikwa kwa mkono kuwa csv format
Sasa unaweza ku_convert table data ambazo zimeandikwa kwa mkono au ziko scanned kwenda...
Uchunguzi uliofanywa na Taasisi ya Sensor Tower inayohusika na masuala ya utafiti wa Masoko ya Kimtandao, umebaini kuwa matumizi ya #Threads yameshuka kwa 75% ikiwa ni wiki chache tangu Mtandao...
Wakuu kwema? Pole na majukumu ya hapa na pale. Nahitaji msaada wenu.
Nlikuwa na account ya Instagram yenye 8K. Na bado ninayo.
Lakini nilikaa kimya sana kwa muda mrefu kidogo. Ni account ambayo...
Habari wakuu,
Nimeona matangazo mengi sana kuhusu simu za mkopo nilikuwa nina mpango wa kumchukulia mtu aweze kutumia.
Sasa swali langu kama kuna mtu yoyote alishawahii kuchukua na akawa analipa...
Mbio za kuteka anga za Juu zinazidi kushika Kasi ambapo baadae mwaka huu Tanzania itaandika historia yake rasmi kwenye space race.
Kwa mujibu wa Waziri Nape Rais Samia atazindua safari ya...
Wakuu mimi siyo mpenzi wa mziki wa sauti ya juu ila ni mpenzi wa vitu vizuri.
Mwanzo nilikuwa nafikiri sub woofer ni mchina tu kumbe kuna sub woofer za brand kubwa tu.
Fikra zangu za kufikiri...
Vita ya Teknolojia inazidi kushika Kasi Watanzania tukiendelea kujitesa kisa mapenzi, mavazi wenzetu wanazidi kuwa imara.
Meta wametangaza vita dhidi ya Elon musk wa Kampuni ya Tesla.
Kampuni...
Habari wadau,
Mwaka jana nilijikamua nkanunua kingamzi but mambo yameenda ndivo sivyo nkakosa hela ya kufungia. Sa ktk kupiga story jamaa akanambia ukipata maelezo mazuri waweza kufunga mwenyewe...
Wengi (sio wote)
Uzi huu wala sina nia ya kuwaponda bali naweka tu awareness ya hali halisi, off course watabe wa IT wapo waliohitimu vyuo ila ni.wachache sana ukilinganisha na wengi ambao ni...
Wakuu,
Katochi kangu kameanguka na kupasuka kioo..Najua Kariakoositakipata kwahyo Nina mpango wa kuagiza China, wapi ni salama zaidi na uhakika kupata bidhaa kati ya Aliexpress na Kikuu...
Nime-refactorise simu yangu ajabu asilimia kubwa ya majina yaliyokuwa nimesevu kwenye email hayaonekani. Yamerudi machache sana.
Tatizo litakuwa ni nini na je nifanyeje
Naombeni mnisaidie formula ya kurahisisha kupata haya majibu kwenye excel.
Kila Box lina chupa 3, chupa 1 ni 0.1, chupa 2 ni 0.2, chupa 3 ni 0.3 sawa na box.
1 ni box moja, 1.1 ni box 1 na unit...
Habarini Ndugu Wanajf
Baada Ya Uzi Wa Wa Biashara Ya Ufundi Simu Na Laptop
https://www.jamiiforums.com/index.php?threads/1609441/
Nilipata Jumbe Nyingi Sana Kila Mtu Akihitaji Mwanga Wa...
Habari JF Members,
Maendeleo na ukuaji wa teknolojia ya kimtandao unazidi kurahisisha huduma za mawasiliano hapa ulimwenguni kila kukicha. Hata uwe sayari gani kwa ulimwengu huu wa sasa, mtu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.