Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Wanajamii naomba msaada jinsi gani naweza kuflash modem ya zantel ZTE model AC 2787 CDMA 2000 Na modem ya ttcl ni ZTE model AC 2746, Sn 9A1307219817 natanguliza shukrani!
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Wakuu, simu yangu imeingia malware naomba msaada jinsi ya kuwatoa nimescan kwa ku2mia 360 security bado wamebaki wawili kwenye rom
0 Reactions
0 Replies
858 Views
Habari yako, MacBook Pro inayohusika hapa ina sifa zifuatazo: Processor yake ni Intel core dual 1.83 GHz, Ram yake ni 2 GB na HDD 500 GB. Kwa sasa OS X version yake ni Snow Leopard 10.6.8...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Msaada wakubwa kwa ambao mnatumia acessories (tools) kwa ajili ya kutengenezea computer yako kama utanisaidia kuzilist ili niweze kushare nanyi maana kuna kabiashara nakafanya kwa ajili ya...
0 Reactions
0 Replies
832 Views
Saa mpya za Swiss zinatumia Vimiminika konyesha majira HYT, the Swiss watchmaker that made waves in 2012 when it released the world's first watch that uses fluids to tell time, is back with...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
[SIZE=3]Naomba msaada kwa anayefahamu ile pressing button anayobonyeza Mgeni Rasmi kuashiria Uzinduzi wa kitu flani na kutoa sauti ya king'ora ni wapi zinapatikana hapa Tanzania. Asante!
0 Reactions
1 Replies
865 Views
Wadau npo mwanza nina gari aina ya toyota mark x ina radio lugha ni kijapani. Naomba kama kuna mtaalamu wa kijapani hapa mwanza, anisaidie kubadilisha na kuwa kingereza maana nashindwa kuifaidi...
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Pre-requsites: 1. Ability of your wireless card to support infrastructure mode. To find out: (i) Find your kernel driver module in use by issuing the below command: lspci -k | grep -A 3 -i...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari wakuu! Najua mko poa na wale ambao hawako sawa kiafya u'll get well soon. Tatizo langu ni kupenda kujua jinsi ya kupata pesa kupiti website yangu.I mean jinsi ya kuruhusu matangazo...
0 Reactions
4 Replies
12K Views
Naomba msaada namna ya kuondoa au kuzizuia. hivi vitu vinasumbua sana kwenye display vinajaza nafas
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kwa muda mrefu nimekuwa nikivutiwa na gari aina ya Toyota Allex, Tafadhali kwa mwenye ufahamu zaidi juu ya undani wa gari hili naomba msaada kufahamuu zaidi 1,500 cc XS150 S-EDITION TA-NZE121...
0 Reactions
5 Replies
6K Views
Habari zenu wakuu. Nimenunua simu mpya sa Samsung S4 ila tatizo internet yake haifunguki, yaan hata kufungua play store imebid nitumie WiFi Naomben mnisaidie nifanye setting gan hapoo ?
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Msaada anayejua namna ya kutumia simu aina ya nokia E7-00 designed in finland tatizo linalonisumbua nikiweka laini haisomi inaandika offline Karibu wakuu kwa msaada
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Nina tab ya google nexus 7 haipigi haipokei simu na sms zinzingia lkn hazitoki naomba app ya kuiwezesha kupiga kupokea na kutuma sms
0 Reactions
1 Replies
962 Views
Natafuta simu aina ya bird E700 ,naomba ushauri kama ni nzuri kwa anayefahamu.
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Wakuu habari za mihangaiko, Kuna hiyo website (fastcardtech.com), wanauza cm nyingi na nzur from china kama xiaomi, oppo, lenovo etc, naitaji kununua cm kutoka kwenye hiyo website. Nilikua...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari za muda huu waungwana? Ninataka kufunga cable televisheni, ila naomba kwa wenye uzoefu je naweza kuingiza katika projekta moja kwa moja na kuitumia bila kuunganisha kwenye television...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Wadau naombeni msaada wa kitaalamu jinsi ya kufix hili tatizo maana nimeangalia kwenye sound drivers zipo sawa but sauti haitoki nikiplay audio wala video.... Kabla ya hapo nilikuwa natumia...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Jamani ndugu yenu nimenunua lumia nataka ku download application nimeshafungua account zaidi ya 5 sasa ni wiki mbili situmiwi verification code, Naomba msaada mwenye account ya microsoft...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu naomba kujulishwa kwa wale wenye utaalam na hili: kuna dish la Azam TV, tunalifunga hapa lakini hatupati signal za kutosha, tumejaribu kuzunguka nyumba nzima bado hatujafanikiwa, kwa umbali...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Back
Top Bottom