Salamu wana jukwaa ! nina PC aina ya acer inatumia windows 7 32bts
Sas wiki hii tangu ianze kunamweng amekuw akitumia kwa mambo ya kitaaluma lakn leo nilipowasha inagoma na kuonyesha kuwa ina...
Habari za muda huu waungwana?
Ninataka kufunga cable televisheni, ila naomba kwa wenye uzoefu je naweza kuingiza katika projekta moja kwa moja?
Ahsante.
Habar wana JF mm nilikuwa na shida ya kufanya mtihani wa cisco kwa hyo nikaamuwa kudownload video za tutorial na kitabu cha ccna kipo complete
Sasa nilikuwa nahitaji kufahamu nitawezaje kufanya...
Nimefungua microsoft account, wamenitumia verfication code lakini code za kuverfy sizioni na pia inbox yao siioni nfanyaje nategemea msaada wenu, nimejaribu kuresend mara kwa mara email bila mafanikio
Wataalamu habari za jioni, naomba msaada namna ya ku updates drivers katika windows7 ultimate ili kupandisha graphics, driver genius imenitaka licence, nimeshindwa jamani mimi sio mtaalamu sana...
Wakuu kama kichwa kinavyojieleza hapo juu nilikuwa nahitaji kujua kama ninaweza kuweka picha zangu binafsi kama templates, vile vile kuhusu kuweka matangazo kwenye blog kwa pale juu unafanyaje ili...
Kwa wale wenye mapenzi na ushabiki teknolojia ya smartphones na miondoko inayofanana na hiyo, mzigo wa Nexus 6 umetoka. This time jamaa wa Google wameamua wawape contract hiyo Motorola. Kwa hiyo...
Kwa wale wenye hamu ya kumiliki OPO aka "never settle" aka flagship killer naona wamefungua dirisha la kuagiza bila invitation version ya 64gb kwa dolari 349 tu na dirisha la kuagiza litafunguliwa...
Wakuu km kichwa cha habari kinavyojieleza hpo juu nilikuwa nahitaji kujua km kuna uwezekano wa kuweka picha zangu km templates back ground vile vile pamoja na kuweka matangazo yangu binafsi sehem...
Tafadhari naomba msaada nmeactivate window 7 kwa kutumia window7keygen zen afta ikanambia nilistart baada ya hapo inawaka haifiki mwisho inazima zen inawaka tena cjui nn tatizo, natumia dell...
Wataalam nisaidie namna ya ku update drivers za laptop bila kununua cd. Tusaidie link na if possible lisense key za kufungulia drivers.
mi ninejaribu smart driver updater wakataka lisense key...
Hatimaye kampuni ya Nokia waachia rasimi ramani zao za HERE maps kwa ajili ya vifaa vyote vya Android, ingawa awali ramani hizi zilikuwa zikitumiwa na Samsung Android devices pekee kwa makubaliano...
Habari wana jamvi wenzangu....naomba msaada .computer yangu haichaji baterry kwa sasa inaandika not charging cjajua tatizo n nini... naomba msaada wenu...n Samsung os window 8
Habari za jioni wan a JF.
Kwa mara nyingine tena najitokeza kuomba msaada juu ya mambo ya torrents. Kuna kitabu nilikuwa nadownload. ila hakuna seed hate mmoja lakini peers typo wawili. sasa...
Wana JF natumaini wengi wenu mkinunua magari yaliyotumika huwa mnakimbilia yaliyotembea km chache. Kiukweli na kwa akili ya kawaida hili ni jambo sahihi kabisa kwa mnunuzi wa magari yaliyotumika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.