Ndugu wana Jf nimesoma post mbalimbali ikiwa ni pamoja na google jinsi ya kuroot simu lakini nimeshindwa naombeni msaada wa njia rahisi ya kuroot hii simu yangu
Asanteni
Guyz mm natumia Samsung S3mini ambayo inatumia Android version 4.1.2 then mm nataka ni install 4.3 ila cjui nifanyaje ili niweze fanya hvyo so plz help me.
Wanajukwaa la Tech heshima iwe kwenu natumai mko poa niko hapa kuwaulizeni juu ya hii kitu juzi nilimpigia mtu simu asiyenifahamu kabisa wala hakuwa na namba yangu ya simu lakini cha ajabu...
Nina Tsh.200,000 nataka kununua Huawei y530 siitaki ile ya Tigo lkn kinacho niogopesha zaidi ni kubakikizwa kama walivyo nishkisha S4 clone, naijuaje ya ukweli? au nichukue hata tecno P5 tu?
heshima kwenu wana MMU,naomba msaada wa jinsi ya kufungua simu yangu Huawei Y210-0200,niliinunua toka kwa mtu ikiwa na Google account yake,nilipoichukua nikaweka pattern password lakini jana...
wasalam wakuu,
simu yangu samsung gt19100 galaxy s2(korean version) imepoteza baseband yake na imei pia ...so haikamati mtandao...nimejaribu kuirestore kabla sijagundua tatizo ikawa bado haishiki...
Habari zenu wadau wa hili jukwaa! Sim yangu ya TECNO P5 imepata tatizo la kujizima yenyewe na ukiwasha inastack na kuzima tangia asubuhi ya leo nikapata akili ya kutoa memory card hatimaye...
Nimepata iPad aina ya apple kutoka kwa MTU,kuna program nyingi muhimu nikizidownload inaniomba ni update ios7,he nitaipataje hii window?naomba mnisaidie.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.