Wakuu,
Nimeibiwa simu ambayo ni ya thamani halafu ina data nyingi katika forms mbalimbali zinazoifanya iwe na thamani zaidi. Simu ilikuwa connected na cloud server kwa hiyo nimefanikiwa...
Wadau heshima kwenu,
Naomba yeyote mwenye kujua WAUZAJI WA JUMLA wa BOLTS AND NUTS na LUBRICANTS anielekeze walipo au kama kama naweza kupata contacts -simu,email nk.
NATANGULIZA SHIKRANI
Jamii forums tunaomba mtuwekee feature ya mtu kuondoa thread yako uliyoianzisha. Mbona hiki kitu kinawezekana kwa social networking sites zingine. It is a basic functionality.
Habarini wadau msaada wenu jamani natumia mtandao wa Tigo tatizo linakuja pale ninapopokea Sms moja inajirudia hata mara 6 kwa mfano nimetumiwa Mamboo sms hiyo moja inajirudia mara 6 lkn inaingia...
Naombeni msaada ni jinsi gani naweza kudownload Apps na kuzi save kwenye sd card maana simu imegoma kila nikijaribu inasema error row memory.natumia samsyng mini galax sd card ina 1.8gb free...
Wanasayansi wa NASA ,wanasema jua liliumbika takriban miaka bilioni 4.59 iliyopita. Likiwa limeumbwa kwa mchanganyiko wa gesi za hydrogen na helium,uso wa jua una nyuzi joto 5,500'C na nyuzi joto...
This method doesn't requires you to do a Reinstall or download risky softwares or cracks.
First we will de-activate windows and then change the product key.No restart is required.Lets begin
(Do...
Wana JF,
Nashindwa kujua kama nimepost swali katika ukurasa husika na nikitoka JF na kurudi kwenye ukurasa husika sioni tittle ya topic niliyopost, nina tafutaje jamani? Maana niliuliza swali JF...
The CRUD cycle describes the elemental functions of a persistent database. CRUD stands for Create, Read, Update and Delete. (Retrieve may occasionally be substituted for Read.) These functions are...
You have at least these five options for modeling the type hierarchy you describe:
Single Table Inheritance: one table for all Product types, with enough columns to store all attributes of all...
Habari wadau,
Jamani kumekua na mkanganyiko mkubwa sana katika magari yenye aina hizi za mashine (engines) hivyo wataalam naombeni mtoe elim hapa.
1. Tofauti kati ya gari automatic na manual...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.