Naomba kwa yeyote anaevijua hivi ving'amuzi anijuze chanel zinazopatikana katika king'amuzi hiki,malipo yake kwa mwezi na hata je sehemu ambazo digital haijaanza kutumika vinaweza kupiga kazi
Wakuu nimekuwa nikiipenda sana na kuitumia simu yangu katika mambo mengi ya proffesion yangu lakini sasa nahitaji kuupgrade... Nimejaribu imeshindikana na kuwahi kulock kabisa.
Wakuu mwenye...
Watafiti wamechanganyikiwa kuhusu ikiwa kampuni ya Apple inapaswa kutoa kauli yake kuhusu ripoti kuwa simu yake mpya ya iPhone 6 inajipinda mtumiaji anapoishi kuiweka ndani ya mfuko wa suruale...
Wanajamii mimi ni mpya kabisa katika mambo ya computer ila najua kama nikielekezwa, maana baadhi ving najua ila ufundi ndo sijui...Kwanza kuna mtu alini insatolia windows 7 sasa jana usk nikawa...
msaada wajomba unahitajika hapa,hiyo game nime install vizuri kabisa tatizo kila nikijaribu kuifungua napata error message "seculauncher;failed to start application (2000).....kama unajua namna ya...
Jamani mwenye haya ma game anijulishe nayatafuta kwa udi na uvumba, nimejaribu kudownload lakin sasa wiki ya pili hii hayajakamilika sababu sehemu nilipo (kahama) network kimeo.
Kwa yeyote...
habari wanajamvi...
naomba msaada kwa anaejua hili...
nina tecno f7 imepasuka screen je inaweza kupata screen ya kureplace au ndo basi tena? naomba maelekezo au namba za cm napoweza pata msaada...
ni baada ya kuweka laini yangu ya airtel kwenye modem ya airtel, baada ya kuirudisha kwenye simu nimeanza kupokea sms kutoka namba 0 yaani kanamba kamoja tuu 0 kametuma sms mpaka sasa zimefika...
Hello,
Hii iphone 5 nikiiwasha inataka niingize apple ID ya mtu mwingine ili ifunguke nimejitahidi lakini haikubali
kuna njia yeyote ya kuifungua nijuzen jaman
kiukweli vocha hizi zinatuokoa watu wa kipato cha chini hebu fikiria 20 DK mitandao yote,300 sms na 125MB kwa 500tshs wkt voda 500tshs ni Dk 8,sms 300 na MB40 voda tupa kuleeee navunja line ss hv
Flash yangu nahisi ime-corrupt, kila nikifungua inahitaji niiformat, nilijaribu kuformat kwa njia ya kawaida ikaniletea ujumbe "windows was unable to complete format" .
Nimejitahidi kuiformat kwa...
Apple sold 4 million iPhone 6 and 6 Plus in first day
Apparently, a lot of people want the iPhone 6.
Apple sold a record 4 million iPhone 6 and iPhone 6 Plus smartphones on Friday, the...
Wadau wa teknolojia hili tatizo la internet kutotulia kwenye H au H+ limekuwa zaidi ya kero kwenye simu yangu, yani muda wote inabadilika badiilika mara h,3g,e na mara moja moja sana inakuwa h+...
oya wadau kwa mtu yeyote mwenye lile draft la wale madada wanao vua nguo aliweke humu, hard disc yangu imekufa ndo maana nimelipoteza hilo game au kama kuna link itupieni humu
kulingana na kura zilizopigwa na maeditors,+authors wa web ya cnet.com wameonelea hivyo binafsi nakubaliana nao,pitisha macho juu ya hiyo video then acha comment chini ya hiii thread
Prizefight...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.