Wadau naomba msaada wenu ili niweze kujua tofauti ya iphone 4 na iphone 4s kuja jamaa kaniletea simu sasa mimi nataka kuhakikisha kama ni IPHONE 4 au IPHONE 4S.
Version-7.1.(11D169)...
Habari zenu wandugu,
Nina ndugu ana simu aina ya samsung. Wiki 3 zilizopita nyuma aliingiza kwenye povu la maji wakati anafua na ht kioo kilipata crack sabab ya kudondoka. Nilipeleka kwa fundi wa...
Ndugu wana jf, naomba msaada wa ni power bank ya aina gan natakiwa kununua mana cm yangu ni tecno m5 ambayo capacity ina 1800amh , niaina gan ya p.bank yenye capacity ya ngapi na naichaji kwa muda...
Katika mambo ya ajabu ambayo mtu anaeza akapinga. Ni ukweli kuwa dunia ni duara, na wote tumesimama juu yake, wengine kichwa chini miguu juu, wengine mlalo, na wengine kichwa juu miguu miguu...
Habari zenu wadau,
Kwenye simu yangu( nahisi hata baadhi ya smartphone kadhaa hili jambo lipo hasa za dual simcard) kuna animationa za Window na Transaction.
Nini kazi zake? Kipi kitatokea km...
Salama?
PC yangu ni kampuni ya lenovo ina tatizo pindi ninapoiwasha inaonesha jina na kukata display tena huwaka na kuwa zoezi endelevu pasipo ku-ran programme yoyote.
Naomba msaada kama...
wapendwa simu yangu inawaka na kuishia kwenye huawei logo. nikitaka update firmware inaandika update exception,emmc readonly,you cant update your system
Wapendwa wana JF, naomba msaada simu yangu ni tecno p3 tatizo niki download vitu inaniambia insuficient space, wakati nimedownload vitu vichache sana imejaaje, na inaniambia sc card space 5.34 gb...
I am working on my blog www.josephmutakubwa.blogspot.com I kept the slider and hosted the images in drop box but they can be displayed anyone with an idea please help
View gallery
.
.
.
Astronauts don't typically need to contend with turtles or fish in the middle of a spacewalk. But a team of spacefarers learned how to manage these distractions...
Habari zenu wana jukwaa, kwanza poleni na majukumu. Nina swali moja, hivi nikilipia shilingi elfu tano kwenye kifurushi cha azam au startimes badala ya bei halisi ya 12,500 au 10,000 naweza kupata...
Naombeni mnisaidie namna ya kutatua hili tatizo,simu ni mpya kabisa aina ya samsung galaxy ace, tatizo kubwa nikipigiwa/nikipiga simsikii mtu wa upande wa pili.
Pia internet ipo slow sana, na...
Nina Pc dell latitude d620, Jana nili install partition magic 3, baada ya hapo ikaleta ujumbe kwamba ile software haikuwa compatible na Windows ikahitaji kurestart.
Nilipo restart ikawa inawaka...
Wadau habari zenu,
Email account yangu ya yahoo niliofungulia account hapa JF imeblock na sina access yoyote ya kufanya kwenye mambo yangu kadhaa niliyotumia kwa account hiyo ya yahoo ikiwemo ht...
vodacom wamekuwa wakinitumia sms kila saa kuwa "mnunuzi wa simu yako amepatikana" nk
sasa nifanyeje kujitoa na huduma hii kwan sikumbuki kama nimewahi kujiunga
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.