Naomba kujuzwa namna ya kumuweka MTU kwenye black list kwa simu za kawaida yaani namaanisha simu zisizo na program hzo
kwani nimebarsha line za simu mpaka Sasa nimechoka plz
Habari zenu wakuu!
Open source tool gani ya kudesign website ipo poa wakuu kwa anayefahamu na mwenye uzoefu nazo, nimejaribu wordpress , joomla majanga ya plugin yamekuwa yakinikera, drupal nayo...
FBI hunting ISIS Gang hackers & gamers creating Cops episodes by swatting other gamers
The FBI is tracking down a group of British hackers and gamers going by the name of "ISISGang;" the gang...
Habari zenu wote,
Naomba msaada kwa wale wazoefu wa drupal 7 CMS. Nime install module inaitwa i18n kwa ajili ya language translation lakini nadhani hii version inatatizo, inanipa error.
Notice...
Pictures of Microsoft's next operating system, Windows 9, leaked on the internet today (September 11, 2014).
It has been rumoured that Microsoft is planning to announce its next operating...
Nina IPAD os 711 niliinunua kwenye mnada kulikua na vitu vingi vinapigwa mnada ila tatizo ni kwamba mwanzoni nilikua naitumia vizuri.
Naona mwenye nayo alitoa taarifa kwenye kampuni ya APPLE...
habar wadau, kuna best yangu whatsapp kwenye simu yake imegoma kufunguka, ameiunstal lakin kila akiinstal upya kupitia playstore hakuna respond yoyote yan inaonesha kama inaanza kudownload ila...
Habari za Leo wanajamvi,
Nimepata tatizo la kuungua power supply wa TV yangu LG (FLatscreen) nimepeleka kwa mafundi kama 4 wote wameshindwa. Je kuna mtu anafahamu wapi naweza pata mafundi wazoefu...
Wataalam habari zenu,
Kunakitu kimoja kimesababisha nije kwenu tusaidiane, nilikua nimeshika msumari na pembeni simu aina ya tecno p5 nikajaribu kuigusa na kichwa cha msumari nikashangaa sana...
Heshima yenu wataalam, nina laptop yangu inatumia window 7 ultimate, cha ajabu kuna mafile nilikuwa nafuta kwenye program files!! mala ghafla ikazimika na kuwaka, kila niki play music sauti...
Wadau, ambaye hajatumia TIGO internet bundles, naomba ajaribu kutumia, pia nashawishika kukubaliana nao kuwa ni "unlimited speed".
Tazama Speed ninayopata kwa kutumia mdem zao mpya.
Naomba mnisaidie jinsi ya kuset internet kwenye simu aina ya LG 4G LTE, maana nimejaribu kuweka data connection vizuri, kwenye setting nimejaribu nimeshindw. Naomba utaratibu
Bwana awe nanyi wanajamvi!
Bado mpaka sasa nashindwa kuelewa maana ya vitu hivi, utakuta simu ikishatangazwa hasa kule gsmarena kwa pale pembeni vimeandikwa;- 96% popurality, 4.9 design, 4.8...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.