Wengi wetu kiukweli hatupendi simu zetu zichunguzwe, unaweza kuweka pattern lock mtu akiazima simu akikuomba umfungulie ukikubali kumfungulia yaani yeye step ya kwanza ni kwenda kuchunguza sms...
jinsi ya kubypass hizi survey zinazojitokeza kila ukitaka kudownload kwenye simu, nimejaribu kutumia ile site ya bypass survey.com lakini hakuna mafanikio.
Huwa nasafirisha parcel ndogondogo kwa bei nzuri tu kutoka Ulaya na Marekani kupitia DHL au FEDEX, sasa mziki umekuja nataka kusafirisha TV yenye ukubwa wa nchi 78, bei ya nauli wanayonipa ni...
Wanajamvi palipo na wengi haliharibiki jambo niljitahid kununua huawei ya joti(tigo) kwa ushawishi wa vifurudhi na nafuu ya bei lakini kutokana na sababu zisizozuilika natamani iruhusu line zote...
Habari wadau, nahitaji kujua ni sofware gani naweza kufuta sehemu ya movie yenye adult content, sometime unawanunulia movie madogo ila kuna kipande cha kugegedana, sasa nataka kujua jins ya...
Habari wakuu, nahitaji kununua printer mpya inayotumia inkjet technology, Ni aina gani nzuri ambayo inaweza kufanya kazi kubwa na itoe output yenye high quality. asante
Wadau natumia samsung galaxy s3 ambayo alikua anaitumia dogo wangu ila kila nachotaka kudownload kinakataa
Yani App yoyote nayotaka kudownload toka playstore inasema Could not downloaded due to an...
APPLE has launched an iPhone replacement program after admitting some smartphones sold two years ago were issued with faulty batteries.
With weak battery life one of the biggest complaints for...
Salute.
Naombeni kufahamishwa maana hizo mbili zina shida kidogo.
Whatsapp ni 50user ila iko safi
Telegram ni 200user ila iko slow sana.
Interest yangu ni media yenye uwezo wa ku accomodate...
Wadau wa JF,
Naomba msaada kutoka kwa anayejua nini inaweza ikawa sababu ya Pads za play station kutokubali kuwaka. Kwa wiki moja sasa kijana wangu ameshindwa kucheza na play station yake kwa...
habari wadau,
nimejaribu mara kadhaa kubadili mwaka wa kuzaliwa katika email yangu niliyoifunguakupitia gmail lakini haibadili.
je huwezi kubadili mwaka au watumia njia gani ili iweze kukubali...
Wadau nimeokota moderm ya zantel. Tatizo ni kwamba haina laini ya kuingiza IPO direct ,ninachoomba ni kujua jinsi ya kurecharge manake sijui namba yake
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Natafuta mtaalam wa computer, ninahitaji kuwekewa windows kwenye macbook pro pamoja na software inayoweza kuruhusu nitumia os's zote mbili.
Ninaomba anipm ikiwezekana na gharama zake.
Thx...
Wakuu nisaidieni
natumia Mozilla FireFox Setup 20.0.1
sasa kuna siku nikakuta wametangaza nyingine ya ku-upgrade ya Mozilla FireFox Setup 30.0.1
nikai-Download
kila kitu kikakubali mpaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.