Tafadhali wataalamu naombeni mnisaidie kitaalamu TV yangu samsung inakakataa kuonyesha picha au inakatakata picha ninapounganisha na HDMI cable kwa kutumia kingamuzi cha digiteck lakini nikitumia...
Tafadhali wataalamu naombeni mnisaidie kitaalamu tv yangu samsung inakakataa kuonyesha picha au inakatakata picha napounganisha na hdmi cable kwa kutumia kingamuzi cha digiteck lakini nikitumia Av...
Nilikuwa na tumia modem ya VODACOM model mpya iliyochakachuliwa ,, sasa nika uninstall kuja kuirudisha tena inakuwa ina connect kwa muda fulani tu unareceive data ila baadae inagoma kabisa hupati...
Saket Ya TV Yangu Inanizingua Kupima, Inachoma Lakini Bulb Inawaka Moja Kwa Moja Haizimi, Kitu Kingine Sijajua Hizi Zeenar Diode Huwa Zinapima Volt Ngapi
Wakuu kuna jamaa yangu ana iphone 5s lakini aliletewa haina charger, tumehangaika sana kununua charging cable lakini ikifanya kazi siku mbili tatu inakuja massage cable is not compatible with this...
The Windows HTC model features new services such as personal assistant Cortana
The handset maker HTC has unveiled a new smartphone that runs a Windows Phone operating system.
The modified One M8...
Msaada na TV yangu, inaonyesha chenga chenga imetumika kama miaka miwilli hivi inasemekana tatizo hili hutokeaga kwenye plasma tv's peke yake. Naomba mtu yoyote anaye elewa hii tatizo atoe...
My simple v ray rendered images on 3Ds max 2015
system specs;
-Intel Core 2 duo 2.2GHz Processor
-4GB of DDR3 Memory
-160GB SATA Hard Disk Drive
- NVIDIA GeForce 9400 GT
- windows 8.1...
Kwema wadau?
Kuna iPhone 3gs 16gb inazingua, tangu ni update iOS haileti network.
Nimepitia tutorial nyingi You Tube na kupractise. Nime jailbreak tethearing na mambo mengine yote nafanya...
Wadau nimenunua Nokia Xl, lakini kila nikijaribu kuinstall whatsapp haikubali, mwenye uelewa anisaidie au ndo haikubali kabisa kwa simu hii aina hii ( nokia xl, dual sim), natanguliza shukrani.
Leo nimejikuta nashika simu yangu na kujiilza maswali mengi.
-Ina vitu( features gani) ambazo sizijui?
- Ina features gani ambazo nazijua lakini sijawai kuzitumia wala sizihitaji
- Ina...
Nilikua naitumia baada ya kuizima nilipotaka kuitumia imegoma kuwaka
Inawaka haimalizi mpaka mwisho na sitaki kuiformart maana kwenye desktop kuna Cv zangu na vitu muhimu nafanyaje jaman??
Habari zenu wakuu,
Natumia simu ya Alcatel S500 lkn cha ajabu nikitumia internet kwa mda wa km dk 30 au 45 mfululizo inapata moto na pia inawahi kuisha chaji. Uwezo wa battery ni 1500mAh. Je...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.