Wakuu msaada wa kuondoa tatizo la maandishi kuwa makubwa upande wa sms nashidwa jinsi ya kuyapunguza, nimeenda kule kwenye settings ipo small sawa sawa , ila shida ni kwenye upande wa sms tu
Habari zenu wakuu mbalimbali [emoji23][emoji23]
Anyway niende moja kwa moja kwenye mada husika,jana niliupdate windows systems ya pc yangu!ni windows 10…cha ajabu imekuwa nzito kuitumia hadi...
Watumiaji wa Whatsapp watakuwa na uwezo wa kuediti ujumbe walioutuma kwa watu baada ya kukosea.
Labda umetuma ujumbe kwa mtu lakini umekosea kwa bahati mbaya kuandika ulichokusudia basi utakiwi...
𝗪𝗵𝗮𝘁𝘀𝗮𝗽𝗽 𝘄𝗮𝗺𝗲𝗿𝘂𝗵𝘂𝘀𝘂 𝗦𝗰𝗿𝗲𝗲𝗻 𝘀𝗵𝗮𝗿𝗶𝗻𝗴 𝗸𝘄𝗮 𝘄𝗮𝘁𝘂𝗺𝗶𝗮𝗷𝗶 𝘄𝗮 𝗮𝗻𝗱𝗿𝗼𝗶𝗱
Miaka ya nyuma baada ya Meta kuinunua Whatsapp walisema lengo Leo ni kuitaka Whatsapp kuwa na feature nyingi Zaidi za kupendekeza na...
Habari wadau wa JF!
Naomba kuuliza kwa yeyote aliye na ufahamu juu ya hili. Hivi tukifuta PICHA kwenye Simu huwa zinakwenda wapi?
Kuna PRIVACY kweli kwenye vifaa hivi?
Msaada kwa anajua
Hello habari ya saizi wana jamii wenzangu naomba msaada nahitaji kusoma programming short course je kama kuna chuo chochote kinacho fundisha au nipeni namna nayoweza kusoma ila isiwe online
Nimekuwa mtumiaji wa samsung kwa muda mrefu lakini miaka miwili iliyopita niliiweka pembeni simu yangu ya zamani Samsung s20+5g sikuitumia kabisa baada ya kujiunga kwenye simu za ulimwengu...
Niaje
Maumivu yameisha ila simu haikuwahi kunisumbua kwa chochote bado iko good kwa kila idara sanasana upande wa camera
sema kuna ngosha mmoja katokea kaielewa anataka kunipa 400k
hapo...
Aina - Boeing 767-300F
Uzito wa Mzigo - Tani 52.7 (Futi 15,469)
Kasi (Speed) - Kilomita 850/900 kwa Saa
Ujazo wa Mafuta - Lita 90,770 (Inatumia Dakika 28 hadi kujaza matenki yote)
Uzito wa Jumla...
Nataka kujua utofauti wa simu spark 8c kwa sababu nipo na rafiki yangu wote tuna miliki simu, aina moja spqck 8c kila mtu laini yake ina support 4g sasa ya kwangu ina kamata 4g ya kwake haikamati...
Habari wakuu!
Ninafanya biashara za kuchaji simu, lakini bahati mbaya sijabahatika kupata charger nzuri zinazovumilia na kuchaji haraka (heavy duty).
Naombeni ushauri ninunue charger brand ipi...
Weekend iliyopita nilisafiri kwenda Bagamoyo tulikuwa na event ya kikazi kule.
Basi wakati michezo beach dada mmoja wakishua akaniachia simu yake nimshikie akaogelee ilikuwa ni iPhone 13 maarufu...
Nina iphone X kwa kawaida huwa nachaji dk 30 simu inakua 80%
Bahati mbaya nimepoteza cable yake nimebaki na charger tu.
Nimepita kariakoo nikanunua cable kwa sh 5k.
Cha ajabu sasa hiyo cable...
Simu yangu ni Tecno Pop 1 na huwa natumia Voda ina kasi sana but juzi kati nilivyotoa betri tu na kurudisha simu imeshuka signal ikipanda sana ni 2+ na imekuwa slow kwa internet na kuna muda...
Wakuu ninaishi mbali na network tower.sipati signal nzuri katka simu yangu. Haswa za internet. Naomba mwenye ujuzi anisaidie Nini cha kufanya..ili nikiwa nyumban niweze kutumia internet
WANAJAMVI ASSALAMUALAIKUM
Kwa ufupi mimi ni raia mwema ambae napenda kujifunza kila kitu lakini pia ni mtu wa simu janja na huku bush wananiaminia kwamba siwezi shindwa.
Sasa leo nimeletewa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.