Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Natanguliza shukrani kwenu wakubwa ,pc yangu kila nikisave documents kwa Microsoft word or PDF baada ya muda fulani huwa 0kb yaani sawa na hamna documents tena.naomba kusaidiwa shida ni nini? Na...
0 Reactions
6 Replies
417 Views
Wadau natumia iphone 7 kuna changamoto nimeanza kuipata sijajua kama kuna mtu nae iliwahi kumtokea niko hapa kutafuta solution juzi simu yangu ilikua inakubali vizuri kushare hotspot lakin...
4 Reactions
27 Replies
6K Views
Wakuu simu yangu ya Redmi 10C "inastack" sana, Shida inaweza kuwa nini? Simu hii nimeinunua mwezi wa saba mwaka jana , hata haijamaliza mwaka. Matumizi yangu ni ya kawaida sana, wala huwa...
3 Reactions
61 Replies
5K Views
𝟮𝟬𝟮𝟳 𝗸𝘂𝘁𝗮𝗸𝘂𝗮 𝗻𝗮 𝗴𝗮𝗿𝗶 𝘇𝗮 𝗸𝘂𝗽𝗮𝗮 Sio Hadithi tena kampuni ya Dutch Aviation kutoka uholanzi wameweka wino ya makubaliano na airport ya Twente kuweza kuweka safari za Anga fup fupi zisizo tumia hewa...
0 Reactions
5 Replies
364 Views
Ndg wadau ninaomba kuoata uelewa wa Hii technology ya Wall screen maana kuna sehemu nataka kuitumia.. Ninaomba msaada wenu kujua mambo yafuatayo: 1. Upatikanaji wake 2. Gharama yake 3...
0 Reactions
1 Replies
359 Views
Nilikuwa na account yangu ya Facebook nimeiunganisha na page yangu, kuna kupindi nikapoteza device niliyokuwa natumia hivyo nikasahau password yangu na hata namba niliyofungulia kwa usajiti wa...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
App mzuri kwenye iPhone
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Mambo vipi wanajamvi. Naombeni ushauri wenu wataalam wa sim za mkonini. Kwa bajeti hiyo sim ipi itanifaa?
4 Reactions
71 Replies
5K Views
Wandugu, Tafadhali kama kuna mwanajamvi yoyote ambaye anafahamu jinsi ya kununua vitu online naomba maelekezo. Asante! Mambo niaje wakuu, Natumaini wote mko pouwa kabisa, mi naomba msaada wenu...
0 Reactions
79 Replies
21K Views
Ni infinix zero ultra
1 Reactions
34 Replies
2K Views
Je una wasiwasi kuwa Kuna mtu anaweza kufuatilia kwenye Whatsapp yako bila wewe kujua ? Unahitaji kuongeza usalama zaidi kwenye Whatsapp yako. Kuna feature inaitwa two step verification kwenye...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Katika ubunifu ambao umefanikiwa sana Afrika ni mobile money hasa ikizaliwa kutoka Safaricom Mpesa. Ubunifu huu tofauti na ubunifu uliozoeleka kuanzia ulaya ukaletwa Afrika, huu ulitengenezwa...
12 Reactions
25 Replies
1K Views
Nahitaji kujifunza kuhusu mambo ya video editing, na nataman nipate mtu au watu ambao watakuwa kama waalimu wangu katika kunisimamia ili kufanikisha lengo langu. Aksanteni
0 Reactions
16 Replies
842 Views
Habari wakuu, niende moja kwa moja kwenye mada. Yeyote mwenye kujua applock nzuri kwa ajili ya ku lock files naomba anijuze ili na mimi niweze kuitumia kwenye simu yangu. Nimejaribu smart lock &...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Anajua jinsi ya ku turn off hiyo issues ya kusleep kwa smart tv anielekeze maana nimejaribu ku turn off timer lakini tatizo lipo pale pale
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Habari wakuu kama kuna yule mwenye anajua streaming software anitajia nikaitafute maana nimehangaika sana mpka nimechoka. Mwisho wa siku nikakumbuka huku jamiiforums. Msaada wenu please kama...
0 Reactions
3 Replies
479 Views
Waungwana msaada. Laptop aina ya HP elitebook. Gafla imegoma kufanya kazi upande wa mouse,katikati,left na right button pia. Lakini zile altenative keys na mouse zinakubali kufanya kazi. Kwenye...
1 Reactions
14 Replies
1K Views
Habari wakuu. Msaada kwa anayeelewa, ninunue PC gani, na yenye uwezo gani mzuri kwa budget yangu ya laki7? Mimi si mtaamu wa aina za PC na uwezo wake nisaidieni nisije kuingizwa chaka. natafuta...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Wadau, poleni na majukumu nilikuwa naomba mwenye uelewa wa kuunganisha smart tv na simu yaani kufanya mirror cast siku yangu ni Samsung A12, na tv ni hisense A4 series smart tv. Karibuni
1 Reactions
14 Replies
7K Views
Hbari za mda hu wana JF wote. Uzi huu unausu mambo ya simu, jinsi gani ya kuroot simu za android 6 nakuendelea kwa komputer au bila computer brand zote. Naomba mwenye kujua program inayo tumika...
1 Reactions
15 Replies
2K Views
Back
Top Bottom