salama wakuu wa kazi?
Moja kwa moja kwenye maada, Leo nimekaa zangu majira ya jioni nacheki luninga stesheni ya channel 10. Kulikuwa kuna kipindi cha TEKNO UBUNIFU kama sijakosea.
Katika hali...
Habari zenu wakuu,
Naombeni ushauri wenu ninunue simu ipi nzuri kati ya "Xiaomi Redmi Note 11" na "Samsung Galaxy A13"?? Bajeti yangu ni Laki 450,000(Tsh)
Note:Napenda Camera nzuri pia display...
wakuu wa jukwaa hili, heshima kwenu.
Kama kichwa kilivyo hapo juu, please nahitaji sana kueleweshwa kuhusu hii open bank project ya nmb bank ambapo unaweza kutumia APIs zao walizotoa kwa ajili ya...
Hawa jamaa naona ni zaidi ya miyeyusho, kwa kipindi kirefu hawataki kubadilika.
Na hapa ni jioni tu, ukitaka kuijua speed ya kobe subiri ifike saa mbili usiku.
Salama wakuu
Ni mwaka wa tano sasa natumia hard disk bila kuibadili, tena yaweza kuwa ni mwaka wa nane maana hata laptop ni hizi za Kariakoo refurbished zimeshatumika ulaya na marekani.
Mwaka...
wataalam line ya halotel haionyeshi hotspot setting kwenye iphone yangu hivyo nashindwa kutumia net kwenye pic kwa wireless wala cable, je nini kifanyike?
Starship ndiyo Roketi yenye nguvu zaidi kuwahi kutengenezwa na imeundwa kutuma wanaanga kwenye Mwezi, Mihiri au kwingineko.
Chombo cha anga za juu cha chuma cha pua kilichoundwa na chombo cha...
Wakuu nahitaji sim kwa ajili ya mtoto bajeti isizidi 200k, anataka hela akanunue mwenyewe ila mimi sitaki kumpa hela.
Amesema anataka oppo tu isiwe sim nyingine, sasa nauliza naweza pata oppo kwa...
Wakuu
Nina jambo Hapa niwaulizeni hivi kati ya Samsung Galaxy S10 na iphone 7+
Ipi ni sim Kali kuanzia storag ,ram ,camera nk
Maana naona hiv vitoto vnashobokea Sana iphone
Anyway binafsi Samsung...
Wakuu amani iwe kwenu!
Nime-stack kidogo. Ninataka kuhamisha contacts zangu zilizo kwenye telegram kuja kwenye simu au kwenye Gmail account yangu. Inafanyika vipi?
Nimehangaika pasi na...
Imeripotiwa kuwa Samsung wana mpango wa kuanza kutumia Bing ya Microsoft kama default search engine.
Taarifa zinasema kutokana na kuongezeka kwa matumizi ya AI ambapo ChatGPT iliyo chini ya...
Wataalamu habari za muda huu?
Je kuna VPN ambayo naweza ku connect kwenye puplic.wifi kisha nikaunga outlook mail app nikapokea emails kama kawaida.
ahsante
Wasalaam wadau,najua jamvini humu kuna wataalamu wa kila jambo!kwa leo naomba kufahamu kwa kina juu ya engine za magari zenye teknolojia tajwa hapo juu,uzuri na ubaya wake na kama mafundi wetu(tz)...
Kubadili IMEI ya simu ni huduma unayoweza kuifanya kwenye simu ambazo ni rooted na ambazo hazija fanyiwa rooting.
Leo nitawaonyesha jinsi ya kubadili IMEI kwenye simu ambazo hazija fanyiwa root...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.