wakuu habari ,Najitokeza jukwaani tena kuomba msaada wenu wa kimaarifa.Imekuwa kama kawaida kwamba ukigugo simu nying utaona specification za uhakika ambazo ni sawa kabisa na features zote za...
Ndugu wadau naomba usaidizi wenu nina Galaxy 1 na nime download apps yetu lakini inaninyima access ya vitu kama reply, quotes, likes, post topic, tags nk. Inawezekana mimi ndio sijui namna ya...
Habari. Wakuu mshua anataka amia digitali kwa kununua king'amuzi.Ni kipi kizuri kati ya hivo vyote? Kuanzia bei yake, ya malipo kwa mwezi (cheapest), channels za uhakika (ata kama chache, ziwe...
JInsi ya kuondoa AUTOPLAY ya FLASH yako ili kujikinga na virus
fuata njia hizi
start..run..
type "gpedit.msc"
then click "COMPUTER CONFIGRATION"
open "ADINISTRATIVE TEMPLATE"
open "SYSTEM"...
Aisee wakuu, hili game jamani likitoka si litafanya watu wasiende makazini au kuingia class kwa wana vyuo? sjaona game yenye reality kama hii so far. Lakini kama nimeona platforms itakua kwa PS3...
Hello jf msaada unahitajika pc yangu ukifungua inaleta sms hii dll is missing mara virtual memory is low kwa hiyo inachukua muda sana ku load files msaada please
Salaam wakuu,
Yaan tangu nianze kucheza ea games (whether fifa, NFL, nba live, NFS etc.) Sijawahi kupata game inayokubali kucheza online. Wale jamaa wajanja aisee unainstall frsh ila ukitaka...
Jinsi ya kujua information juu ya pc yako cha kufanya
1..go to start
2..type run
3..ingiza neno hilo "dxdiag" kisha bonya enter
.....you can see your configuration
Heres 20 of the best liked Facebook fan and welcome pages in terms of how well they are
famous and how creatively theyre promoting their brand. Using three online tools I was able to
compile...
ndg,wana jf,wenzangu,najua watanzania,kwa sasa tupo katika mfumo wa digital,na tayari makampuni ma 3,yamesha pewa leseni ya kusambaza na kutoa huduma ya matangazo ya digital,lakini mpaka sasa ni...
Wanajamvi mimi nilianza kujifunza programming tuseme accidentally to it was when I was still in form 3.. Na language ya kwanza kuigundua na kuanza kujifunza ilikua HTML hivohivo kwa bahati nasibu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.